Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Maumbile ni mbele tu nyuma sio maumbile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Hapo Nimedanganya Nini ? Kwenye huu Uzi pia nilisema Nipo kwny mahusiano japo tuna matatizo ya hapa na pale ? Kipi cha uongo hasa hapa ? kama huna cha kushauri mama kaa kmyahuwa wanaanzisha nyuzi af wanajisahau [emoji3]
Hauwatemei mate wake za watu?Sina
Ili iwe ndoa kamili inatakiwa Kua na miaka mingapi ?Ndoa ya miez 6 kitaalam Wewe Bado sio mke
Kuna watu mna Maneno mabaya sana. PERIODT!!!Kama huna ubavu wa kuachana nae unatusumbua bure sie hatuna ushauri. Kaa hapo utulie
duh me mama tena mkuu [emoji849]Sasa Hapo Nimedanganya Nini ? Kwenye huu Uzi pia nilisema Nipo kwny mahusiano japo tuna matatizo ya hapa na pale ? Kipi cha uongo hasa hapa ? kama huna cha kushauri mama kaa kmya
Niambie Shehe wangu
So Ina justify alichokifanya?Si kila siku mnaambiwa simu ya mwanaume ni baba mkwe usiguse
bad tupo utumwani colonialismJaman Habari za Jioni . Kiukweli Nimechanganyikiwa Na akili yangu imefika mwisho kufikiri . Mimi ni Binti Nina umri wa miaka 27 . Nimeolewa na Ndoa yangu ina miezi Sita sasa . Na Mimi Nina Mimba Ina miezi Nne sasa.
Jana Jioni Nilimuomba Mume wangu kuna baadhi ya picha anitumie kwenye simu. Kwa Sababu alikua busy na kitu flani akasema Nisubiri. Imepita Kama Nusu saa Bado akawa busy. Nikaenda chumbani kulala nikakuta simu yake charge. Nikaamua Nijirushie zile picha mwenyewe.
Nirudishe masaa Nyuma Maana nilichokiona kitaniathiri maisha yangu yote. Nilipofungua gallery kwenye iPhone video au picha zilizopigwa recently zinakuwa mwanzoni. So kuna video sikuielewa nikaona niifungue.
Nikakuta Mume wangu na Boss wake ambaye ni mwanamke Wanafanya mapenzi wakiwa na nguo za kazi. Boss wake ni mama mtu mzima kamzidi mume wangu Umri . Na cha ajabu ni kwamba Mume wangu anamuingilia kinyume na maumbile .
Aiseee sijawahi kuumia kiasi hichi, Bado sijafanya Maamuzi yoyote Nimeishia kulia tu na Mimba yangu. Naomba mnisaidie kimawazo
Poa.Pambana na Hali yako
Sawa MamaNjoo nipe tako mimi ulipize kisasi usikubali kabsa me nakushauri kumbuka unyonge ni dhambi.
Aahh... Mbona hakuna shido... Mimi nikajua huyo Bosi wake ni mwanaume, labda shido ni huko kujirecord na huko kunanii kinyume.. vinginevyo mwanaume si wa mmojaJaman Habari za Jioni . Kiukweli Nimechanganyikiwa Na akili yangu imefika mwisho kufikiri . Mimi ni Binti Nina umri wa miaka 27 . Nimeolewa na Ndoa yangu ina miezi Sita sasa . Na Mimi Nina Mimba Ina miezi Nne sasa.
Jana Jioni Nilimuomba Mume wangu kuna baadhi ya picha anitumie kwenye simu. Kwa Sababu alikua busy na kitu flani akasema Nisubiri. Imepita Kama Nusu saa Bado akawa busy. Nikaenda chumbani kulala nikakuta simu yake charge. Nikaamua Nijirushie zile picha mwenyewe.
Nirudishe masaa Nyuma Maana nilichokiona kitaniathiri maisha yangu yote. Nilipofungua gallery kwenye iPhone video au picha zilizopigwa recently zinakuwa mwanzoni. So kuna video sikuielewa nikaona niifungue.
Nikakuta Mume wangu na Boss wake ambaye ni mwanamke Wanafanya mapenzi wakiwa na nguo za kazi. Boss wake ni mama mtu mzima kamzidi mume wangu Umri . Na cha ajabu ni kwamba Mume wangu anamuingilia kinyume na maumbile .
Aiseee sijawahi kuumia kiasi hichi, Bado sijafanya Maamuzi yoyote Nimeishia kulia tu na Mimba yangu. Naomba mnisaidie kimawazo
HapanaHauwatemei mate wake za watu?
Promotions gani Tena …Emb Jaribu Kua positive basi khaMmeanza tena promotion
Na Wewe unampa kinyume na maumbile!Tuanzie hapo kwanza.Jaman Habari za Jioni . Kiukweli Nimechanganyikiwa Na akili yangu imefika mwisho kufikiri . Mimi ni Binti Nina umri wa miaka 27 . Nimeolewa na Ndoa yangu ina miezi Sita sasa . Na Mimi Nina Mimba Ina miezi Nne sasa.
Jana Jioni Nilimuomba Mume wangu kuna baadhi ya picha anitumie kwenye simu. Kwa Sababu alikua busy na kitu flani akasema Nisubiri. Imepita Kama Nusu saa Bado akawa busy. Nikaenda chumbani kulala nikakuta simu yake charge. Nikaamua Nijirushie zile picha mwenyewe.
Nirudishe masaa Nyuma Maana nilichokiona kitaniathiri maisha yangu yote. Nilipofungua gallery kwenye iPhone video au picha zilizopigwa recently zinakuwa mwanzoni. So kuna video sikuielewa nikaona niifungue.
Nikakuta Mume wangu na Boss wake ambaye ni mwanamke Wanafanya mapenzi wakiwa na nguo za kazi. Boss wake ni mama mtu mzima kamzidi mume wangu Umri . Na cha ajabu ni kwamba Mume wangu anamuingilia kinyume na maumbile .
Aiseee sijawahi kuumia kiasi hichi, Bado sijafanya Maamuzi yoyote Nimeishia kulia tu na Mimba yangu. Naomba mnisaidie kimawazo