Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

Nyamaza na mezea,kwa sasa leo hiyo mimba dada,umalaya kwa sisi wanaume huuwezi
 
P
Polee. Jifanye kama hujaziona kwaajili ya mwanao tumboni.
 
Wewe utakuwa umechanganyikiwa na maluelue ya ujauzito, usiamini video siyo yeye uliangalia kwa harakaharaka. Siyo yeye na usiguseguse simu yake siku nyingine.
 
Curiosity killed the cat
Mwana kulotafuta mwana kulipata
Fvck around found Out
ki-HEREHERE
 
Hiyo ya kuomba kurushiwa picha ni kama sababu tu ya kujificha but lengo lako lilikuwa ni kukagua simu ya mumeo sasa unapoingia kwenye simu ya mtu bila ridhaa yake lolote unalokutana nalo huna haja ya kulalamikia umelitafuta mwenyewe kwa mikono 2 hivyo mshukuru mola tu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 

Balthazar egonga Pro max
 
Utu uko wapi?
Hisia za mapenzi ziko wapi?
Waozeshaji wako wapi?
Maadili kazini yako wapi?
Namba za baba na mama kijacho ziko wapi?
 
Ungemwomba simu akupe kwa hiari yake,hivyoulichokiona vunga kama hujui chochote hapo ikijidai kiherehere inaweza kiwa ndoa inaharibikia hapo na kulea mzigo utaubeba.
 
Hiyo Video ni ya kabla au baada ya Ndoa?

NB: Umesema Ndoa ina miezi 6 tu hadi sasa.

Ushauri:

Kama ya kabla ya ndoa, penda ua na tunda lake

Kama baada ya ndoa, .............................
 
Chai hii na ni story ya kutunga
 
Mume haachwi kwa sababu ya kutoke.nje ya ndoa..

Kama ungekuwa umefundwa kama zamani walivyokuwa wanafundwa, moja ya kitu ungeambiwa ni "MWANAUME HASHIBI MWANAMKE MMOJA".

Sasa jichanganye.
 
Hii
HIi chai ni tatepa au alkasusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…