Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Sitomwambia, ila hatofanikiwa
Siwez sahau familia yangu.
Mwamba ht ww wanakutengeneza...[emoji1787][emoji1787]Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali
Ndio ndio MkuuHapo utakua umemshinda
Sasa kama sio kunionea ninn mkuu wangu[emoji23]Mwamba ht ww wanakutengeneza...[emoji1787][emoji1787]
Hawa watu balaa, hapo nadhan mpango wake ni kukamata jumlaGaddamit! umenikumbusha demu wangu wa zamani kila nikienda kwake lazima afanye uhakika nile ndio niondoke nikajikuta naendeshwa kama mbuzi mwisho wa siku, haya maisha ni hatari yani tunaishi kwa timing sana.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Huyo Manzi itakua yupo humu mkuu, na ka subscribe ule uzi wetu pendwa wa kula kimasihara...kakuchora sana uvumilivu umemshinda.Sasa kama sio kunionea ninn mkuu wangu[emoji23]
Dah...[emoji1787][emoji1787]Mitishamba hizo labda mwenzio anatafuta watoto kisirisiri.[emoji28][emoji28]
Daahhh inawezekana, ngoja nisimwambieMitishamba hizo labda mwenzio anatafuta watoto kisirisiri.[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daahhh asinifanyie hivi.Huyo Manzi itakua yupo humu mkuu, na ka subscribe ule uzi wetu pendwa wa kula kimasihara...kakuchora sana uvumilivu umemshinda.
Kwisha habari yako. [emoji1787][emoji1787]Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaaa
Yanini haya sasa jamaan?
Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa
Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani
Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu
Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh
Au ni Viungo??? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]View attachment 1794828View attachment 1794829View attachment 1794830