Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Umeamua kwa hiyari yako kuwa na mtu, unajua na yeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaa

Ya nini haya sasa jamani?

Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia hata mama yangu hajawahi kupika namna hii kumbe ni Dawa. Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisani, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikoni nichemshe Chai, sasa kutafuta majani

Asalaleeeeeeeee nakutana na haya majitu. Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh. Au ni Viungo? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]


 
Hawa watu balaa, hapo nadhan mpango wake ni kukamata jumla

Kitendo chamm kuziona, tayari masharit yameharibika
 
Kwisha habari yako. [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…