Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Hivi huyu mwanamke bado mshamba hivyo? Mambwata ya kutia kwa chakula mbna zama zake zimepita kitambo sana?

Hahahah nwei mjanja kakutan na mjanja mwenzie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
amu aunt njoo huku uone mambo ya mswano.
Ya siku hizi mnafanyaje tafadhali bibie maana
 
Yani mwanaume anapogombaniwa na wanawake kwa madawa, madhara yake kwenye maisha ya Kawaida huwa ni makubwa sana, ikiwa ni pamoja na kuandamwa na magonjwa ya ajabuajabu na hayo mae kifo baada ya muda.
Wengi wao huwq vichaa, au hata magonjwa ya akili mengine.
 
Kuna demu Kila siku ananibembeleza alete chakula namwambia subiri utanipikia mda ukifika,
Hawa viumbe waoneni hivihiv lakini Kila anapokuwa na wewe anajua una mwingine kwahiyo yeye anawaza kupindua meza tu
 
TuliA ulogwe boya wewe

Siku hizi hamtabiriki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mi ndo mana sitakagi mazoea na mchepuko week 3 max nikishalala nae mara 3 basiiii.


Mbona ya kutema big G kwa karanga kwa punje tatu za karanga ni utoto.Mwanamke sina malengo nae ya nini nigandane nae

Labda ni dawa zake binafsi za ku balance hormone au kufanya k iwe mnato.Mjini hapa makungwi wengi sana
 
TuliA ulogwe boya wewe

Siku hizi hamtabiriki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mi ndo mana sitakagi mazoea na mchepuko week 3 max nikishalala nae mara 3 basiiii.


Mbona ya kutema big G kwa karanga kwa punje tatu za karanga ni utoto.Mwanamke sina malengo nae ya nini nigandane nae

Labda ni dawa zake binafsi za ku balance hormone au kufanya k iwe mnato.Mjini hapa makungwi wengi sana
Labda nazo nikwaajili ya Kidume mwingine..maana hapa Mjini bwasheee
 
Hebu kuwa mpole kwani bas, maan nikifukunyua mengi nitaharibu ladha, kiruuuuuuuuh.

Mambwata hoyeeeeeeeeeeeeeh.
Sasa mie si ndo nataka jua niwe na alarm kichwani au nipe nondo PM
 
Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaaa


Yanini haya sasa jamaan?

Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa


Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani

Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu

Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh



Au ni Viungo??? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo

Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]View attachment 1794828View attachment 1794829View attachment 1794830

Aina ya wanawake una date nao ndio hao[emoji848]!!!
Always upo hapa kutupa namna ya kutegua mitego ya wanawake na experience zako enhe tupe mpango mpya wa kujinasua hapa pia baby[emoji8][emoji8]
Nakwambia huwezi kumzidi mwanamke na bado hujakutana na mambo wewe[emoji28][emoji28]
Hujamaliza wanawake wote hao wachache unao wapatia huko wasikudanganye eti unatujua vizuri
Hakuna mwanaume amefanikiwa katika hilo
My take😀awa zimekuzidi mpaka huna cha kumfanya na ukizubaa utakuwa ndondocha endelea....
 
Aina ya wanawake una date nao ndio hao[emoji848]!!!
Always upo hapa kutupa namna ya kutegua mitego ya wanawake na experience zako enhe tupe mpango mpya wa kujinasua hapa pia baby[emoji8][emoji8]
Nakwambia huwezi kumzidi mwanamke na bado hujakutana na mambo wewe[emoji28][emoji28]
Hujamaliza wanawake wote hao wachache unao wapatia huko wasikudanganye eti unatujua vizuri
Hakuna mwanaume amefanikiwa katika hilo
My take😀awa zimekuzidi mpaka huna cha kumfanya na ukizubaa utakuwa ndondocha endelea....
Kwaio unamshaurije, ajikatae au aendelee kuitafuna mbususu?
 
Kuna uzi mmoja humu ulikuwa unatema fucker, unadai kuwa wewe huwa unawatomba tu afu huna habari nao[emoji28].Kumbe na wewe wanakutengeneza kama kawaida?

Maswala ya familia (mke na michepuko) yanaambatana na maswala mengi sana, na kwaasilimia kubwa ndo husababisha wanaume wengi sikuizi tunakufa kabla ya siku zetu. Na hiyo ni kwasababu wanawake wanapokuwa kwenye mahusiano huwaza sana madawa, kuliko mwanaume.

Anatoaga shit tambo tu nyuma ya keybord
Hajatengenezwa huyu dudu haisimami popote zaidi ya Kwa muhusika [emoji28][emoji28][emoji28]atajua hajui
 
Back
Top Bottom