Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
- #21
Ndicho nachokitazamiaKufa hufi Ila cha Moto utakiona?
Wacha nione
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndicho nachokitazamiaKufa hufi Ila cha Moto utakiona?
[emoji23][emoji23]sawa mkuu ..eti wakupigia mswakiHuo Mkaa labda wa kupigia mswaki!
Usihukumu mapema muulize.
Kwakwel Mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji52]
Noma sana. Baki njia kuu
Noma sana..Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaaa
Yanini haya sasa jamaan?
Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa
Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani
Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu
Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh
Au ni Viungo??? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]View attachment 1794828View attachment 1794829View attachment 1794830
Niombee mkuuAaah ndege mjanja kanasa
DaahhhWeka picha ya demu
Uchawi hauende kwa mentaliUsharogwa wewe[emoji16]
Yaani mwenzio ye kaenda church we jikoni,hayo maombi lazima yadunde,unapenda sana mbususuNiombee mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitishamba hizo labda mwenzio anatafuta watoto kisirisiri.[emoji28][emoji28]
Kiukweli kama kunikamata alinikamata no lie mpaka familia ikaona napotea kabisa nilitaka kuweka bond gari kabisa dogo akaingilia kati, ukiniuliza what happened ata sielewi but that wasn't me at all sema nacheka sana nikikumbuka adventureHawa watu balaa, hapo nadhan mpango wake ni kukamata jumla
Kitendo chamm kuziona, tayari masharit yameharibika
Haya makitu kumbe yana nguvu ivoKiukweli kama kunikamata alinikamata no lie mpaka familia ikaona napotea kabisa nilitaka kuweka bond gari kabisa dogo akaingilia kati, ukiniuliza what happened ata sielewi but that wasn't me at all sema nacheka sana nikikumbuka adventure
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
MkuuuYaani mwenzio ye kaenda church we jikoni,hayo maombi lazima yadunde,unapenda sana mbususu
Aahhh ni.lichibonge tu siunajua vitu navyopenda?Ni demu Mzuri??
Huku mjini watu wanaishi kiujanja sana shekh, ndio maana nakwambia watu wanaliana timing ukizubaa tu wanakulisha madude na wanaume nao wanamichezo yao kwaiyo ni hatari kwa kifupi kwa sisi ambao hatuamini hayo madude tunafanywa kuamini in a hard way.Haya makitu kumbe yana nguvu ivo
Tulia dozi iishe utaisahau tu, kwa sa hizi dawa haijakuingia sawa sawaSitomwambia, ila hatofanikiwa
Siwez sahau familia yangu.
Yani mwanaume anapogombaniwa na wanawake kwa madawa, madhara yake kwenye maisha ya Kawaida huwa ni makubwa sana, ikiwa ni pamoja na kuandamwa na magonjwa ya ajabuajabu na hayo mae kifo baada ya muda.Haya makitu kumbe yana nguvu ivo