Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Kwaio unamshaurije, ajikatae au aendelee kuitafuna mbususu?
We unavyomuona hapo ana nguvu ya kuikataa
Si umemsoma kasema anataka aone mchezo unavyo enda kwa kifupi dawa imeshaanza kazi
Na hizo alizoona ni chache tu
Mambo yalisha fanyika hizo ni dose za kumalizia kazi
Asubiri rehema za Mungu atoke hapo