King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Tabia za limbwata ni za wanawake wa ukanda wa pwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua na Dem wangu mrangi toka kondoa,aliwahi niambiaga nikikuamulia hutoki nje hata siku moja,siku hiyo nikamdadisi akasema nikipata mchumba ntakwambia,Hamad,akatafutiwa mchumba kwao.
Alinimwagia secreto,ukienda kwa wanawake wengine usiwaamini Sana,mkikulana,usikubali wakufute na kitambaa,jifute mwenyewe,nilimuuliza why baby?[emoji15][emoji15] Kwa kuwa alinikubali Sana ananimwagia secreto[emoji2][emoji2] kwamba like kitambaa alichojifutia na wewe akikufutia akiamua kukifunga mafundi matatu na kuchanganya na majamboz mengine,husimami kamwe kwa mwanamke mwingine[emoji34][emoji34] zaidi yake.
Kwa hiyo mamen wenzangu hii ni binge ya secreto, mkitaka kuchukua chukueni,kuweni Makini.
Tangu siku hiyo Mimi sikubali Dem anifute na kitambaa chake[emoji34][emoji34]baada ya kula mbususu yake,nipo 5 kilometers ahead from them[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafaidika na pesa zake, mapenzi yake na muda wakeUkiwa mchep usiloge, mtu akiisahau familia yake..
Unafaidika nn?
Duuh roho mbayaNafaidika na pesa zake, mapenzi yake na muda wake
Tabia za limbwata ni za wanawake wa ukanda wa pwani.
Kuna binti alienda kwa mtaalamu ili amfunge mchepuko (mme wa mtu) awe anatii sheria bila shuruti, mtaalamu akamwambia huyu anaonekana mkewe kamfunga ila usijali tunamrekebisha tu....Ila wanawanyoosha na hii mada niliwahi kuandika humu
Michepuko ikiona hela inamfunga mwanaume chap bila kupoteza muda
Yaani na wawafunge watupe Kamba baharini [emoji57][emoji57]
Kuna binti alienda kwa mtaalamu ili amfunge mchepuko (mme wa mtu) awe anatii sheria bila shuruti, mtaalamu akamwambia huyu anaonekana mkewe kamfunga ila usijali tunamrekebisha tu....
Can u imagine!!! mke kafunga, mchepuko nae anafungua afunge kivyake, sa kuna mtu hapo? Wanaume ndio maana sometimes wanaact kama mazombie, sio akili zao...
Kuna binti alienda kwa mtaalamu ili amfunge mchepuko (mme wa mtu) awe anatii sheria bila shuruti, mtaalamu akamwambia huyu anaonekana mkewe kamfunga ila usijali tunamrekebisha tu....
Can u imagine!!! mke kafunga, mchepuko nae anafungua afunge kivyake, sa kuna mtu hapo? Wanaume ndio maana sometimes wanaact kama mazombie, sio akili zao...
Mapenzi ya dawa ni kujisumbua tu, Mwisho wake huwa ni mbaya. Dawa ikiisha nguvu mtu unarudi kwenye uhalisia wako.
Hawajuagi tu lakini ukweli nikwamba hata akiniteka kwanamna yoyote ipo siku nitarudi kwafamilia yangu ila wapo wanaakili hawezi kukubali umzalau mkeo kwaajiri yakeNahapo ndo wanaharibu..yaan mcheps anataka nafasi ya Mke nafamilia yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mafurushi bwana!!
Na mrogwe tu.
Tulizana bas, utengenezwe hadi njugu 2 hizo zijute kuning'inia chini ya kiuno, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mie si ndo nataka jua niwe na alarm kichwani au nipe nondo PM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aina ya wanawake una date nao ndio hao[emoji848]!!!
Always upo hapa kutupa namna ya kutegua mitego ya wanawake na experience zako enhe tupe mpango mpya wa kujinasua hapa pia baby[emoji8][emoji8]
Nakwambia huwezi kumzidi mwanamke na bado hujakutana na mambo wewe[emoji28][emoji28]
Hujamaliza wanawake wote hao wachache unao wapatia huko wasikudanganye eti unatujua vizuri
Hakuna mwanaume amefanikiwa katika hilo
My take😀awa zimekuzidi mpaka huna cha kumfanya na ukizubaa utakuwa ndondocha endelea....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwsho wake apewe order, pesa zote ziende kwa muhusika.Surgeon umepatikana.....
Atakupulusa visenti vyote tunavyokupa ukitupasua NGIRI ZETU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee nae huna lolote, unapewa 1 hiyo akili zako zote zina simama kwa muda usiojulikanami nishawekewa sana hayo makitu na demu flani lakini ajabu bado alikuwa anaona simpendi..nampa majibu ya shombo yyani kiufupi yeye ndo akavurugwa na mimi.kunilaumu hakuishi lakini bado ananiganda tuu hadi leo.mda wowote namwita na anakuja yaani mrahisi sana kwangu!nahisi limbwata zake zilimrudia maana vitu konki nnavyotumia hakuna uchawi utaingia humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ndo ya kirangi, mbna imepitwa na wakati, sahivi mambwata new version, lolNilikua na Dem wangu mrangi toka kondoa,aliwahi niambiaga nikikuamulia hutoki nje hata siku moja,siku hiyo nikamdadisi akasema nikipata mchumba ntakwambia,Hamad,akatafutiwa mchumba kwao.
Alinimwagia secreto,ukienda kwa wanawake wengine usiwaamini Sana,mkikulana,usikubali wakufute na kitambaa,jifute mwenyewe,nilimuuliza why baby?[emoji15][emoji15] Kwa kuwa alinikubali Sana ananimwagia secreto[emoji2][emoji2] kwamba like kitambaa alichojifutia na wewe akikufutia akiamua kukifunga mafundi matatu na kuchanganya na majamboz mengine,husimami kamwe kwa mwanamke mwingine[emoji34][emoji34] zaidi yake.
Kwa hiyo mamen wenzangu hii ni binge ya secreto, mkitaka kuchukua chukueni,kuweni Makini.
Tangu siku hiyo Mimi sikubali Dem anifute na kitambaa chake[emoji34][emoji34]baada ya kula mbususu yake,nipo 5 kilometers ahead from them[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unadhan wafanyeje? Hakna namna.Kuna binti alienda kwa mtaalamu ili amfunge mchepuko (mme wa mtu) awe anatii sheria bila shuruti, mtaalamu akamwambia huyu anaonekana mkewe kamfunga ila usijali tunamrekebisha tu....
Can u imagine!!! mke kafunga, mchepuko nae anafungua afunge kivyake, sa kuna mtu hapo? Wanaume ndio maana sometimes wanaact kama mazombie, sio akili zao...