Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 719
Nikiwa namtu.akianza kuisema vibaya familia yangu basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aina ya Kazi yangu Mkuu, inaniruhusu kwa siku nyingine, usiku nisiwepo Nyumban.Nipe na Mimi mbinu mkeo ulimwagaje?
Nahapo ndo wanaharibu..yaan mcheps anataka nafasi ya Mke nafamilia yakoNikiwa namtu.akianza kuisema vibaya familia yangu basi
Hahahaa! shem wanaume wenyewe wachache afu akili zenu sometimes mnazijua wenyewe! Hapo lazima ukaeee teh huchomokiiiShem ,kama ulikuwepo,najua unajua
Andiko langu ni baraka kwako na lenye ujumbe mzito ila nasikitika hulitendei kazi.Saint Anne , hujambo Mama ,kila andiko lako, huwa ni Baraka kwangu na lenye Ujumbeee mzito.
Kabisa mkuu, hata huyu Manzi, kuna vitu sometimes mpaka nastuka, namuuliza mata mbilimbili, kunann??mi nishawekewa sana hayo makitu na demu flani lakini ajabu bado alikuwa anaona simpendi..nampa majibu ya shombo yyani kiufupi yeye ndo akavurugwa na mimi.kunilaumu hakuishi lakini bado ananiganda tuu hadi leo.mda wowote namwita na anakuja yaani mrahisi sana kwangu!nahisi limbwata zake zilimrudia maana vitu konki nnavyotumia hakuna uchawi utaingia humu
Ukiwa mchep usiloge, mtu akiisahau familia yake..Nyie ni wa kulogwa tu.
Mimi mwenyewe nmeamua kuchukulia vile ni viungo tu.Pole sana, ila mbona hizo zote ni dawa za tumbo...
Nimeaga ,na kila mwaka tunaaga tena[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaa! shem wanaume wenyewe wachache afu akili zenu sometimes mnazijua wenyewe! Hapo lazima ukaeee teh huchomokiii
Naendelea Kusali na kuliomba hili liache Mara moja Mama.Andiko langu ni baraka kwako na lenye ujumbe mzito ila nasikitika hulitendei kazi.
Mimi ni mpanzi nipandaye mbegu.
Wewe ni mbegu zilizoanguka penye/kati ya miiba,ile miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga...
Unasikia neno, na katika kuenenda husongwa na shughuli za dunia na udanganyifu wa mali na anasa za maisha haya,wasiivishe lo lote na lile Neno halizai.
Litaachaje wakati hutaki kuacha?Naendelea Kusali na kuliomba hili liache Mara moja Mama.
Duh!Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaaa
Yanini haya sasa jamaan?
Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa
Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani
Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu
Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh
Au ni Viungo??? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]View attachment 1794828View attachment 1794829View attachment 1794830