Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

mi nishawekewa sana hayo makitu na demu flani lakini ajabu bado alikuwa anaona simpendi..nampa majibu ya shombo yyani kiufupi yeye ndo akavurugwa na mimi.kunilaumu hakuishi lakini bado ananiganda tuu hadi leo.mda wowote namwita na anakuja yaani mrahisi sana kwangu!nahisi limbwata zake zilimrudia maana vitu konki nnavyotumia hakuna uchawi utaingia humu
 
Saint Anne , hujambo Mama ,kila andiko lako, huwa ni Baraka kwangu na lenye Ujumbeee mzito.
Andiko langu ni baraka kwako na lenye ujumbe mzito ila nasikitika hulitendei kazi.

Mimi ni mpanzi nipandaye mbegu.
Wewe ni mbegu zilizoanguka penye/kati ya miiba,ile miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga...
Unasikia neno, na katika kuenenda husongwa na shughuli za dunia na udanganyifu wa mali na anasa za maisha haya,usiivishe lo lote na lile Neno halizai.
 
mi nishawekewa sana hayo makitu na demu flani lakini ajabu bado alikuwa anaona simpendi..nampa majibu ya shombo yyani kiufupi yeye ndo akavurugwa na mimi.kunilaumu hakuishi lakini bado ananiganda tuu hadi leo.mda wowote namwita na anakuja yaani mrahisi sana kwangu!nahisi limbwata zake zilimrudia maana vitu konki nnavyotumia hakuna uchawi utaingia humu
Kabisa mkuu, hata huyu Manzi, kuna vitu sometimes mpaka nastuka, namuuliza mata mbilimbili, kunann??

Anasema hamna.
 
Andiko langu ni baraka kwako na lenye ujumbe mzito ila nasikitika hulitendei kazi.

Mimi ni mpanzi nipandaye mbegu.
Wewe ni mbegu zilizoanguka penye/kati ya miiba,ile miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga...
Unasikia neno, na katika kuenenda husongwa na shughuli za dunia na udanganyifu wa mali na anasa za maisha haya,wasiivishe lo lote na lile Neno halizai.
Naendelea Kusali na kuliomba hili liache Mara moja Mama.
 
Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaaa


Yanini haya sasa jamaan?

Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa


Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani

Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu

Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh



Au ni Viungo??? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo

Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]View attachment 1794828View attachment 1794829View attachment 1794830
Duh!

Ni manini hayo? Yanaonekana ni mauchafu 🤣.

Ndo madawa ya penzi?

Let me put you on game:

If you want to know what you’re eating then: buy it yourself, grow it yourself, kill it yourself, and make it yourself.

Other than that, there is a chance of you eating things that you wouldn’t normally eat, had you had full knowledge of what they are.
 
Nilikua na Dem wangu mrangi toka kondoa,aliwahi niambiaga nikikuamulia hutoki nje hata siku moja,siku hiyo nikamdadisi akasema nikipata mchumba ntakwambia,Hamad,akatafutiwa mchumba kwao.
Alinimwagia secreto,ukienda kwa wanawake wengine usiwaamini Sana,mkikulana,usikubali wakufute na kitambaa,jifute mwenyewe,nilimuuliza why baby?[emoji15][emoji15] Kwa kuwa alinikubali Sana ananimwagia secreto[emoji2][emoji2] kwamba like kitambaa alichojifutia na wewe akikufutia akiamua kukifunga mafundi matatu na kuchanganya na majamboz mengine,husimami kamwe kwa mwanamke mwingine[emoji34][emoji34] zaidi yake.
Kwa hiyo mamen wenzangu hii ni binge ya secreto, mkitaka kuchukua chukueni,kuweni Makini.
Tangu siku hiyo Mimi sikubali Dem anifute na kitambaa chake[emoji34][emoji34]baada ya kula mbususu yake,nipo 5 kilometers ahead from them[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom