Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na zitaenda tu ndugu yangu cocastic 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwsho wake apewe order, pesa zote ziende kwa muhusika.
🤣Wee nae huna lolote, unapewa 1 hiyo akili zako zote zina simama kwa muda usiojulikana
sema walahiiWee nae huna lolote, unapewa 1 hiyo akili zako zote zina simama kwa muda usiojulikana
Kwahiyo hata msosi wangu hauli we msukuma?Duh!
Ni manini hayo? Yanaonekana ni mauchafu [emoji1787].
Ndo madawa ya penzi?
Let me put you on game:
If you want to know what you’re eating then: buy it yourself, grow it yourself, kill it yourself, and make it yourself.
Other than that, there is a chance of you eating things that you wouldn’t normally eat, had you had full knowledge of what they are.
Kwani unajua kupika we Mangi?Kwahiyo hata msosi wangu hauli we msukuma?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na zitaenda tu ndugu yangu cocastic [emoji1787][emoji1787]
Walllah.sema walahii
Hajakutan na kubwa huyu mbna yey mwenyewe kende zake zitakua zinasemezan kwq uchovu huko chini ya kiuno. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23] wapuuzi saaana nyie.Tulizana bas, utengenezwe hadi njugu 2 hizo zijute kuning'inia chini ya kiuno, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah [emoji23][emoji23][emoji23] nyie viumbe nyie.Kuna binti alienda kwa mtaalamu ili amfunge mchepuko (mme wa mtu) awe anatii sheria bila shuruti, mtaalamu akamwambia huyu anaonekana mkewe kamfunga ila usijali tunamrekebisha tu....
Can u imagine!!! mke kafunga, mchepuko nae anafungua afunge kivyake, sa kuna mtu hapo? Wanaume ndio maana sometimes wanaact kama mazombie, sio akili zao...
🤣🤣Hajakutan na kubwa huyu mbna yey mwenyewe kende zake zitakua zinasemezan kwq uchovu huko chini ya kiuno. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu zangu, wanaume wanachezewa sana 😂😂Dah [emoji23][emoji23][emoji23] nyie viumbe nyie.
Tuko kwenye kipindi ambacho wanawake 10 wanataman kuishi na mwanaume mmoja haswa mwenye mafanikio.Ungejua wanachojadili mabinti walionje ya ndoa ...wanasema mchepuko bila limbwata haendi.Japo nikiri waz msiposimama katika kweli wanaume mna hatari kubwa mnakula sana vichafu
Nipe na Mimi mbinu mkeo ulimwagaje?
BT mwanamke mmoja anadumaza akili, hana changamoto, hana maajabu... TehKwa michepuko mtalishwa hadi mavi
Mkiambiwa mtulie na wake zenu mnadai mwanaume atakuwaje na mwanamke mmoja
Haya sasa
Pole sana
Shukuru umeona!!!
Carlos [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umenifurahisha sana kumbe hukujua yale ya kimasihara yanaleta masihara kama hayo....Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali
Acha walishwe vyeusi sasa akili iwakae sawa!!!!BT mwanamke mmoja anadumaza akili, hana changamoto, hana maajabu... Teh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi kwelikweliKuna binti alienda kwa mtaalamu ili amfunge mchepuko (mme wa mtu) awe anatii sheria bila shuruti, mtaalamu akamwambia huyu anaonekana mkewe kamfunga ila usijali tunamrekebisha tu....
Can u imagine!!! mke kafunga, mchepuko nae anafungua afunge kivyake, sa kuna mtu hapo? Wanaume ndio maana sometimes wanaact kama mazombie, sio akili zao...