[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hebu niache wewe, nampa moyo mubby asijali atapata mwingine, mbona wanawake tupo wengi tu, au nasema uongo [emoji23]
Mkuu humu ndani kuna watu wazito sana, usione maandishi ya hapa ukadharau watu.Kumbe kuna watu matajiri sana hapa
Kwanini haki yake?Kama wewe ni mume wa mtu hapo wala hakucheat, ni haki yake.
Hayo tumeyazoea sio habari tena mie mwenyewe muhanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]...muhurumie mtoa made basi...
Please nakuomba usimfokee jamani, sio vizuri....😁Sasa ulitegemea atulie na wewe mume wa mtu ili agundue nini?
Furushi.
kuishi kwingi kuona mengi...bado najiuliza kwanini kamfungulia uzi...wakati alikuwa anatimiza wajibu wake...sema alikosea pa kuwekeza...Sasa kama zipo kwanini asitoe mzee?! Kuna watu wengine hiyo 350k ni kama punje kwenye gunia la mchele hey
Kwani wewe ni mume wake hadi isiwe haki kuwa na mtu mwingine?Kwanini haki yake?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Please nakuomba usimfokee jamani, sio vizuri....[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji1787]Please nakuomba usimfokee jamani, sio vizuri....[emoji16]
I'm sure umejifunza...next time spend your money panapostahili...Hayo tumeyazoea sio habari tena mie mwenyewe muhanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaniona venye nna ....😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyekiti nakuona nakuona!
Ameona fursa ndani ya fursa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyekiti nakuona nakuona!
Utajuaje panapostahili zaidi ya uliyempenda?I'm sure umejifunza...next time spend your money panapostahili...
pole lakini
Aaah kabisa, pambana mama. Msusi nipo hapa.Unaniona venye nna ....[emoji2]
View attachment 1901791
Acha apambane[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ameona fursa ndani ya fursa
eehh[emoji2955][emoji2955][emoji2955]...Utajuaje panapostahili zaidi ya uliyempenda?
Mafuta gari 50(week)Aaah kabisa, pambana mama. Msusi nipo hapa.
Naam siku ya bahati haina jina[emoji38][emoji38]Acha apambane[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hujawahi niangusha Evelyn Salt