Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
pamoja na yote [emoji1483] najua kwa dunia ya sasa most relationships are transactional[emoji846]
Jamani pole, pole sana huyo mwanamke hafai kabisa na aendelee kupauka hivo hivo.....
Anyway ulishapata mwingine lakini? Au bado Pole sana
Please nakuomba usimfokee jamani, sio vizuri....[emoji16]
Hawa watu we waache tu ni ngumu kuwaelewaKuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe
Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu
Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma
Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti
Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Hapo ulipompangishia anakaa nani baada ya kumtimua? Namtafutia nyumba mchepuko wangu kipenziKuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe
Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu
Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma
Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti
Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
Please nakuomba usimfokee jamani, sio vizuri....[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyekiti nakuona nakuona!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata sijui nacheka nini ila auntie na eve mmenifurahisha sana
Ndugu hivi ulijibiwa kweliKwa hiyo kila wiki alikuwa anatengeneza Nywele ya elfu 60 na kucha za 15?
Ulikuwa unamdate Celebrity Mkuu?
Post zingine zinatonesha kidonda kujibu ni kujipalia mkaaNdugu hivi ulijibiwa kweli
HahahahPost zingine zinatosha kidonda kujibu ni kujipalia mkaa
Nimejibiwa wapi Ndugu yangu?Ndugu hivi ulijibiwa kweli
Acha tubaki kushangaa tu hakuna namna mpenziNimejibiwa wapi Ndugu yangu?
Hiyo bajeti yake ya nywele na kucha umeielewa? Maana nimebaki kushangaa....
Kabisa Dear... Maana yanashangaza.Acha tubaki kushangaa tu hakuna namna mpenzi
Kwani unataka kurithi mikoba?Nimejibiwa wapi Ndugu yangu?
Hiyo bajeti yake ya nywele na kucha umeielewa? Maana nimebaki kushangaa....
Na wewe umepigwa na kitu kizito kichwani nini?[emoji23]Post zingine zinatonesha kidonda kujibu ni kujipalia mkaa
Nawaona mlivo mzoom jamaa instaOhoo unajuaga wote ni kajamba nani?
HahahaNa wewe umepigwa na kitu kizito kichwani nini?[emoji23]
c'est la vie