Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Ila mkuu huu uzi unakudhalilisha wewe mwenyewe tu...hivi hukujiona ni jinga fulani hivi zuzu linaloliwa pesa? Huyo mwanamke hizo bills alizokuwa anakupa amekuona wewe ni fala isitoshe ulikuwa humridhishi ndo maana akala pesa zako na jamaa yake wa ukweli. Wewe nenda katulie na mkeo huyo ndo wa maana lakini huna sifa za kuwa real man.
Real man hahongi pesa kizembe hivyo na ni ngumu kuachwa!!!
 
Ndio ndio.
Sio dada yangu ananyoa kama kuruta wa jeshi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hizo mbinu ukifanikiwa nipasie na mimi mdogo wangu...

Hili Para nianze kulivisha Brazillian.. Woiiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hizo mbinu ukifanikiwa nipasie na mimi mdogo wangu...

Hili Para nianze kulivisha Brazillian.. Woiiiii
Nazijulia waapi, mi mwenyewe nimepaukiana tu. Yule shemeji yako mpare hivi yupo duniani kweli?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umeamua kunisema namna hii kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena kunyoa kwenyewe ni buku tu tena mara moja baada ya miezi mitatu.
 
Nazijulia waapi, mi mwenyewe nimepaukiana tu. Yule shemeji yako mpare hivi yupo duniani kweli?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Namuona tu huko Duniani anahangaika..

Siku hizi kabatizwa mara ya pili eti.. na jina kabadilisha.[emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena kunyoa kwenyewe ni buku tu tena mara moja baada ya miezi mitatu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyu msichana ni mjanja, amefuata ushauri wa huyu ndg, kuna uzi alishauri ukidate na mme wa mtu we kula pesa yake tu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umeamua kunisema namna hii kweli?
Nazijulia waapi, mi mwenyewe nimepaukiana tu. Yule shemeji yako mpare hivi yupo duniani kweli?
Huyo dada naye anatusimulia huku kwamba amekutana na wewe ukiwa umechoka sana! Sasa sijui nani kachoka hapo kila mtu anamuona mwenzake kachoka[emoji14][emoji848]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Namuona tu huko Duniani anahangaika..

Siku hizi kabatizwa mara ya pili eti.. na jina kabadilisha.[emoji23][emoji23]
Wacha bwana!! Anaitwa nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aaah!! Kumbe maujanja aliyatoa mwenyewe!! Sasa analia lia nini?
 
Mie sijamwona kitambo hata sijui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nimkute mahali...

Nakuita uje ushuhudie...

Shemegi(Isome hivyo hivyo[emoji23]) anahangaika huyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…