Nimekutana na ex wangu akiwa kachoka

Investment yote hiyo kwa mchepuko khaaaaa


Ni udomo zege au nini

Mbona sisi wame za watu ni deal sana siku hizi.

Mkeo ulikuwa unampa sh ngapi kwa mwezi??
 
[emoji849][emoji849][emoji849]Kumbe anatuchosha tu hapa?
 
Kwa uchumi wa Tanzania ni kichaa pekee anaweza kuhonga mchepuko kiasi hicho.
Labda uniambie kuwa umewajengea wazazi ghorofa na umesomesha ukoo wote hapo sitakupinga.
 
Acha ubinafsi inshort ulikuwa humuridhishi na hakukupenda, hafu wewe ukiwa na mke yeye abaki na Nani?
 
porojo tu unatafta demu mtandaoni ww kwa mkeo penyewe kula shida kwani sikupati? kamalizie hilo boma kujenga
 
Si judge sana uwezo wako wa kugegeda na amin uko vizuli. Ila kilichokufelisha APA!.. kwa huyu mchepuko ni TIME..

yes muda pesa Sio kila kitu!.. Mchepuko alihitaj muda pia wa kua na ww!. Huenda alikukubal Mno ila kuna kipind anaitaj kua na ww time ambayo ww upo kwa mkeo!..

#time [emoji799]
 
Duuuu hawa watu wanajifanya wanaishi uzunguni kumbe wanakaa uswazi tena kwenye nyumba za matofali mabichi,, usifanye unapesa ndugu nenda kasaidie watu wasio jiweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…