kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,571
- 1,760
Wapi huko mkuu nipe connectionWapo wengi tu mbona,kuna mmoja anashusa kontena za mtumba saiv ni tajiri balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko mkuu nipe connectionWapo wengi tu mbona,kuna mmoja anashusa kontena za mtumba saiv ni tajiri balaa
Population ya wanaotumia cm vibaya ratio ikojeMkuu umefanya kazi na wanachi? Ikiwa umefanya nao kazi ungenielewa namaanisha nini
Kuamini kuwa CCM ni chanzo cha umaskini pia ni ujingakweli kabisa na mjinga namba moja anayechelewesha haya ni ccm
Wewe hilo ndo limekuvutia.!?Wachina wengine ni mashushushu wa kiuchumi wa nchi yao. Wanakuwa wanakopeshwa mabilioni ya hela kuwekeza Tanzania, kutoka kwa mabosi au mabenki yao ya china kama icbc. Hayo hawezi akasema hata siku moja
nimekuta jengo kubwa la ccm limefunguliwa porini sijui wanatafuta idadi ya wanachama ndio wanyama na kumejaa fisiKuamini kuwa CCM ni chanzo cha umaskini pia ni ujinga
Kupata ratio ya watu bilion na milion 60 moja kwa moja tutazidiwa, sio sisi dunia nzima hakuna nchi yenye warumiaji wengi wa simu kama china numbey ya watu inawabebaPopulation ya wanaotumia cm vibaya ratio ikoje
NA bongo ratio ikoje?
SIsi tunatumia kwenye ujinga km kutafuta likes na umaarufu wa bureKupata ratio ya watu bilion na milion 60 moja kwa moja tutazidiwa, sio sisi dunia nzima hakuna nchi yenye warumiaji wengi wa simu kama china numbey ya watu inawabeba
Hata wao ni vivyovivyo tu data za mwisho kabla google kuwaondoa huawei ilionesha walikuwa wanatazama sana ngono na kucheza magameSIsi tunatumia kwenye ujinga km kutafuta likes na umaarufu wa bure
NDio wengi hutumia kujifunza sana au kuingizia pesa
Ndugu yangu CCM ni viazi TZ ni shamba la bibi tutafute hela tunimekuta jengo kubwa la ccm limefunguliwa porini sijui wanatafuta idadi ya wanachama ndio wanyama na kumejaa fisi
je aliyoyasema ni uongo ? adui wa mwafrika ni UJINGA mf ni ww hapoWachina wengine ni mashushushu wa kiuchumi wa nchi yao. Wanakuwa wanakopeshwa mabilioni ya hela kuwekeza Tanzania, kutoka kwa mabosi au mabenki yao ya china kama icbc. Hayo hawezi akasema hata siku moja
kasema anaechelewesha ni ccmu , hayo ya chadema na act ni yako , tujifunze kumalizana na mada moja kabla ya kuleta mada mpya , ndio maana mambo yetu meng hayapati ufumbuzHiv unaamin wakija Chadema au ACT watatutoa huku ?
ww ni moja ya waliolewa ujinga , hatushangaiStory yakutunga hamna ukweli wowote