Nimekutana na Mchina aliyekuja kama kibarua Tanzania ila sasa yeye ni Big Boss

Nimekutana na Mchina aliyekuja kama kibarua Tanzania ila sasa yeye ni Big Boss

Mchina alisahau kuwataja wajinga mnaodhani vyama vya siasa vitawatoa kwenye umaskini.
tunazungumiza kikwazo na sio chama kututoa kwenye matatizo , Mtu anafungua mradi ccmu wanataasisi hazihesabiki zinapita zinakusanya ela ukigoma wanakutungia kesi bila kusahau mahakama ni yao , kwa hali hii unajikwamuaje , hao wakina Mo na Bakhresaa ipo siku wataongea kama ccmu itatoka madarakan
 
Samahani mimi kuna sehemu napingana nae kwenye uchezaji wa kamari wachina wanacheza kamari kuliko jamii yoyote duniani

Kwenye elimu naweza kukubaliana nae sababu elimu yetu ni yakutengeneza superviser na manager

Kwenye kutumia simu wachina wanatumia sana huende kuliko sisi


Kwenye kuabudu naona hatujapishana sana sema imani tu na tamaduni tu
wachina wote wanacheza kamari?
 
Waafrika wengi wakimuona mzungu wanakua na mashaka nae wakiamini ni jasusi.

Aisee china imejaza majasusi afrika ni kama utitiri. Usiamini wafanikio Yao kirahisi hivyo
ndio maana hampigi hatua , zingatia aliyoyasema mchina , UJINGA bado ndo janga kubwa kwenu , ujasusi sio hoja hapa hoja ni kauli zake zina tija kwenu
 
Huyo mchina anaitwa Tom.. Mrefu kwenda chini kifutu ana tumbo kubwa ni muongeaji sana ana nidhamu na heshima ya kinafiki sana hasa mbele ya viongozi na ni bingwa wa kujipendekeza

Sent using Jamii Forums mobile app
wamekuja kutafuta wanawazuga viongoz wenu wasiojitambua wanatoza mikodi halaf wanawachekea wachina , mchina hatak mshika mkono kipofu wakati wa misosi
 
Jana kuna mchina nilikutanishwa nae ni CEO wa kiwanda cha uzalishaji wa marine boards, melamain boards, pliewoods na MDF ambacho wamekijenga pale Mafinga.

Nilimuuliza ABCs za maisha yake hapa Tanzania na akanambia yafuatayo.

1. Yeye alikuja Tanzania kipindi cha ujenzi wa uwanja wa mpira wa Benjamini Mkapa na alikuja kama kibarua wa kulipwa posho kwa siku.

2. ⁠Uwanja ulipoisha kwasababu alipokuwa kibarua alikua akijituma sana boss wake alimwamini na kumpa kazi ya kusimamia Makarasha Chalinze kama Foremen.

3. ⁠Walipomaliza mradi wa Chalinze yeye aliona kurudi china haiwezekani kwani kwa muda aliokaa TZ kaona fursa nyingi na utajiri mwingi.

4. ⁠Aliamua kumshawishi boss wake kwamba kama wao wanarudi china yeye anaomba abaki TZ aone fursa na ndipo alipoenda mafinga na kuona fursa iliyopo kwenye miti. Na akamwambia boss wake wafungue kiwanda yeye atakisimamia na atahakikisha mtaji unarudi na faida wanapata.

5. ⁠Boss Alikubali na sasa kile kiwanda ni kikubwa yeye ndo msimamizi na anamiliki billions of money .

NILIMUULIZA KWA MUDA ALIOKAA AMENIFUNZA NINI NDANI YA TANZANIA.

1. Alinambia nyie Watanzania ni watu wajinga sana kwasababu mnaamini kwenye miujiza kwakutumia muda mwingi kusali na kulala.

2. ⁠Fedha mlizotafuta kwa jasho mnachezea kamali/gulugulu alilotengeneza mchina mkiamini mtapata utajiri, akamalizia hakuna utajiri wa namna hiyo.

3. ⁠Hamjui matumizi ya simu, muda mwingi mnatumia simu kwa vitu vya kijinga akishangaa mtanzania anaweza kukupigia cm mara 20 mfululizo kama hupokei simu yake. Yeye Ana muda maalum wa kupiga cm na kupokea simu.

4. ⁠Mnaabudu na kuamini wanasiasa wanaweza tatua shida zenu kumbe wao ndo wanawategemea ninyi mtatue shida zao.

5. ⁠Mfumo wenu wa Elimu ni wa kijinga kwasababu haumuandai mtoto kuwa mbunifu na kutumia maarifa yake kubuni/ama kuzalisha bidhaa ili ziingie sokoni.
Mchina mjinga huyo arudi kwao. Yeye amefanya kazi analipwa vizuri na bado alitegemea Bilionea ndio amfungulie biashara ya mbao.

Nilitarajia kuona stori yako iseme mshahara aliolipwa kwenye ujenzi wa Benjamini Mkapa Stadium alitunza na kukuza kuwa Utajiri.

Hapo alipo tu utakuta ana Kadi ya CCM😂😂
 
Mkuu umefanya kazi na wanachi? Ikiwa umefanya nao kazi ungenielewa namaanisha nini
umefanya kaz na vibaka wa kichina yaan hao ni tabaka la chini kama ww sema wamekuzid akili na exposure so wakiwa bongo wanakuwa maboss zako so usiwatumie kuwahukumu wachina wote 1 B
 
Samahani mimi kuna sehemu napingana nae kwenye uchezaji wa kamari wachina wanacheza kamari kuliko jamii yoyote duniani

Kwenye elimu naweza kukubaliana nae sababu elimu yetu ni yakutengeneza superviser na manager

Kwenye kutumia simu wachina wanatumia sana huende kuliko sisi


Kwenye kuabudu naona hatujapishana sana sema imani tu na tamaduni tu
Huyo ni Mchina bogus yaani pess za Boss wake tayari kashajifanya mjuaju wakato alishindwa hata kurudi kwao.
 
Kuamini kuwa CCM ni chanzo cha umaskini pia ni ujinga
ww unaishi kwa shemej yako ukila ukishiba unahisi shemej yako anaokota ela , leo naweka umeme nakuta kodi yao wamepandisha na mshahara hawajapandisha huku mfumuko wa bei wa vyakula na usafiri , halaf unaandika utopolo wako , ENDELEA KUISHI KWA SHEMEJ YAKO IPO SIKU UKIANZA JITEGEMEA UTAPATA AKILI
 
Mchina mjinga huyo arudi kwao. Yeye amefanya kazi analipwa vizuri na bado alitegemea Bilionea ndio amfungulie biashara ya mbao.

Nilitarajia kuona stori yako iseme mshahara aliolipwa kwenye ujenzi wa Benjamini Mkapa Stadium alitunza na kukuza kuwa Utajiri.

Hapo alipo tu utakuta ana Kadi ya CCM[emoji23][emoji23]
mkuu ndio maana hampigi hatua , mnatizama mambo kwa juu juu sana , hapo kuna KUONA FURSA , KUIPAMBANIA FURSA na KUFANIKIWA KWENYE FURSA ingekuwa rahis tu watu wengi wangepewa mitaji na wakafanikiwa
 
Back
Top Bottom