elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
Kwa mara ya kwanza nimekutana na mwana jamiiforum ilikuwa ni furaha na vicheko hii tumia majina siyo, inafanya mkionana ku enjoy zaidi, ila nilichogundua wengi wakipanga kuonana wanakuwa na hofu sana haswa baada ya sheria iloyotukosesha Zaidi ya billion Mia tisa, ila nawapa moyo wasiogope si kila mtu ni muovu(serikali)