Nimekutana na rafiki yangu mwarabu tuliesoma shule ya Msingi, Nasikitika kuona wageni wanavyotajirika huku wenyeji tumeridhika na vimafanikio vidogo

Nimekutana na rafiki yangu mwarabu tuliesoma shule ya Msingi, Nasikitika kuona wageni wanavyotajirika huku wenyeji tumeridhika na vimafanikio vidogo

Wachaga wana huu utaratibu na Wakinga nahisi Ila makabila mengine sijui nani aliwaroga, makabila mengine familia zimejaa ubinafsi tu
Labda wachaga napo ni kwa mbali sanaaa kulinganisha na hawa wageni.

Wakinga bado sana hao, labda ni zile kelele tu kutaka nao wajulikane wapo lakini kimaendeleo bado sana, Picha linaanza hata huko kwao Makete maendeleo ni duni, nyumba za nyasi kibao, barabara za vumbi, hakuna maji ya bomba, elimu ni shida, n.k.
 
Aliekudanya nani mkuu, mimi hao watu nimeishi nao sana shuleni kwa miaka saba, Kinadharia kwa uraia ni wenzetu ila kwa uhalisia bado ni wageni.

wanaishi kwa tamaduni za kiarabu na kihindi na sio za kitanzania, huji kuona mhindi ama muarabu kavaa hata kitenge, ni wenzetu hao ?

wanaoleana wao kwa wao, Kwa waarabu hata uwe mpemba ama msomali wao hukuona bado mwafrika huwezi kupewa binti yao labda uwe na mtu mzito sana, kwa wahindi sahau kabisa, ni wenzetu hao ?

Shughuli za kijamii iwe misiba ama sherehe huwa wanashiriki zao, ni wenzetu hao ?
Nikuulize swali
Una ndugu yyt wa kukupa milion 100 ukafanye biashara bila riba ...?

Au kukupa bidhaa ukafanye biashara..?

Kama hayupo jio jamii kuwa matajiri kama hao waarabu au wahindi sahau kabisa
 
Wachaga wana huu utaratibu na Wakinga nahisi Ila makabila mengine sijui nani aliwaroga, makabila mengine familia zimejaa ubinafsi tu
Umenyooshaaa mkuu...

Ubinafsi,ubinafsiii umetujaa ..

Mtu Kwenye familia anapesa lkn kusupport hata wadogo zake mtaji n shidaa..

Anatakaa aonekanee kwenyee ukoo yy pekee ndio tajirii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda wachaga napo ni kwa mbali sanaaa kulinganisha na hawa wageni.

Wakinga bado sana hao, hata uwaweke kundi moja na waha ni sawa tu, labda ni zile kelele tu kutaka nao wajulikane wapo lakini kimaendeleo bado sana, Picha linaanza hata huko kwao Makete maendeleo ni duni, nyumba za nyasi kibao, barabara za vumbi, hakuna maji ya bomba, elimu ni shida, n.k.
Ndio nimekwambia wachaga hawa jamaa wanajua kunyanyuana kudadadek wachaga, kuna jamaa alivutwa Dar akaja kushika duka ili na yeye ajikusanye afungue duka ndani ya mwaka tu na yeye akafungua duka pale alipofungua akaita kijana mwingine akaja nae ndani ya mwaka akafungua duka la kwake, rotation inaendelea hivyo yaani

Makabila mengine yamekalia Ubinafsi tu pumbavu
 
Binafsi nimesoma na waarabu, yaani wenzio wanapelekwa shule wajue kusoma na hesabu basi,

Yaani wakitoka shule saa nane wanakaa dukani kuuza, nyie waswahili si hamuwakabidhi wenu mnaogopa mtoto ataiba Pipi.

Niliosoma nao waliishia darasa la saba na kukabidhiwa maduka kuuza/kufanya biashara, now kuna limoja lina miliki sheli.
 
Hilo pia linafanywa sana na wachaga na wakinga, anaanza kumfundisha mtoto biashara tangu akiwa mdogo.
Hapo labda kwa wachaga napo ni wachache sanaaaa!!, Hao wakinga wengi nimeishi nao , wana fikra za KILA MTU AJITAFUTIE CHA KWAKE, na hii ndio inasababisha biashara nyingi sana kuvurugika baba akifariki, Nina rafiki mkinga nilisoma nae hizo shule ila Baba alipofariki akahamishiwa shule za serikali na hapo tayari alikuwa na kaka zake wenye miaka 20 huko
 
Umenyooshaaa mkuu...

Ubinafsi,ubinafsiii umetujaa ..

Mtu Kwenye familia anapesa lkn kusupport hata wadogo zake mtaji n shidaa..

Anatakaa aonekanee kwenyee ukoo yy pekee ndio tajirii[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hivyo yaan mijitu imejaa Ubinafsi wa kufa mtu haijui kunyanyua wenzao yeye anataka aonekane yeye tu ndio mwenye kipato siku akidondoka hata watoto wake hawawezi kuendeleza alipoishia wakati ndugu zangu wachaga wananyanyuana wao kwa wao na wanapeana support nomarawa,
 
Ngozi nyeusi inalelewa kwa misingi ya ubinafsi, baba anayo nyumba ila mtoto akikua anaambiwa au anaamua mwenyewe akajitegemee anaenda kuanza 1 wakati hiyo pesa anayoenda kununua kitanda,godoro,kiwanja kujenga nyumba angeiwekeza kwenye biashara ambayo anauzoefu nayo baada ya miaka kadhaa angekua kapiga hatua .

ila wanaishi kwenye circle hiyohiyo ya kufika umri flan anaenda kulipa kodi kununua godoro kujenga kazeeka tayari, mtoto wake nae anarudia ujinga huohuo wajukuu hivyohivyo, akili ya biashara hamna akiajiriwa ye ndo anaonekana katoboa.
Waswahili Dunia nzima wapo hivyo hawapendani
 
Mkuu umelewa? Pumzika, kesho nayo siku.
Ajalewaa mkuu semaa ujamwelewaa tu alivyotukanaa [emoji23][emoji23][emoji23]kutukana kwake anamaanishaa huo udokta ulionao uliendaa shulee kusomea ujingaa [emoji23]..Kwa kutokuamini kwako hakuna watu wanaingiza billion faida Kwa mwezii,,.....ilangali Kuna makampuni kibao tu hayo hayo ya waindi kuingiza hyo b kitu Cha kawaidaaa,,

Dr Kuna watu wamewekezaaa mpk htr....
 
Wachaga sio kwamba wananyuana ndugu Bali jamii moja mfano angalia maduka Mengi ya wachaga wale sio. Ndugu Bali kabila moja


Mbantu akunyanyue eti kisa we nindugu yake thubutu wachache mno Sana.
Ndio hivyo yaan mijitu imejaa Ubinafsi wa kufa mtu haijui kunyanyua wenzao yeye anataka aonekane yeye tu ndio mwenye kipato siku akidondoka hata watoto wake hawawezi kuendeleza alipoishia wakati ndugu zangu wachaga wananyanyuana wao kwa wao na wanapeana support nomarawa,
 
Wachaga sio kwamba wananyuana ndugu Bali jamii moja mfano angalia maduka Mengi ya wachaga wale sio. Ndugu Bali kabila moja


Mbantu akunyanyue eti kisa we nindugu yake thubutu wachache mno Sana.
Sijakuelewa we unaishi Nchi gani? Sio ndugu Bali kabila moja ndio nini?

Makabila mengine hata hio kua kabila moja akupe support sahau, sasa hujanielewa nini? Wachaga wanaonyanyuana ndugu wapo wengi tu sema wewe ndio haujui,

Uliza kingine
 
Ajalewaa mkuu semaa ujamwelewaa tu alivyotukanaa [emoji23][emoji23][emoji23]kutukana kwake anamaanishaa huo udokta ulionao uliendaa shulee kusomea ujingaa [emoji23]..Kwa kutokuamini kwako hakuna watu wanaingiza billion faida Kwa mwezii,,.....ilangali Kuna makampuni kibao tu hayo hayo ya waindi kuingiza hyo b kitu Cha kawaidaaa,,

Dr Kuna watu wamewekezaaa mpk htr....
Unaelewa maana ya Billion? Unatengeneza hiyo faida kwa Mtaji wa kiasi gani? Sikatai yapo makampuni yanatengeneza zaidi ya hiyo pesa monthly.

Je, unataka kusema ni kijana mwenye 40+ aliyeanza from scratch ana uwezo wa kutengeneza hiyo Billion 1 kama faida kwa mwezi? Nazungumza kwa Muktadha wa kuwapuuza wanaotengeneza faida ya 5m+ kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom