Nimekutana na rafiki yangu mwarabu tuliesoma shule ya Msingi, Nasikitika kuona wageni wanavyotajirika huku wenyeji tumeridhika na vimafanikio vidogo

Wachaga wana huu utaratibu na Wakinga nahisi Ila makabila mengine sijui nani aliwaroga, makabila mengine familia zimejaa ubinafsi tu
Labda wachaga napo ni kwa mbali sanaaa kulinganisha na hawa wageni.

Wakinga bado sana hao, labda ni zile kelele tu kutaka nao wajulikane wapo lakini kimaendeleo bado sana, Picha linaanza hata huko kwao Makete maendeleo ni duni, nyumba za nyasi kibao, barabara za vumbi, hakuna maji ya bomba, elimu ni shida, n.k.
 
Nikuulize swali
Una ndugu yyt wa kukupa milion 100 ukafanye biashara bila riba ...?

Au kukupa bidhaa ukafanye biashara..?

Kama hayupo jio jamii kuwa matajiri kama hao waarabu au wahindi sahau kabisa
 
Wachaga wana huu utaratibu na Wakinga nahisi Ila makabila mengine sijui nani aliwaroga, makabila mengine familia zimejaa ubinafsi tu
Umenyooshaaa mkuu...

Ubinafsi,ubinafsiii umetujaa ..

Mtu Kwenye familia anapesa lkn kusupport hata wadogo zake mtaji n shidaa..

Anatakaa aonekanee kwenyee ukoo yy pekee ndio tajirii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio nimekwambia wachaga hawa jamaa wanajua kunyanyuana kudadadek wachaga, kuna jamaa alivutwa Dar akaja kushika duka ili na yeye ajikusanye afungue duka ndani ya mwaka tu na yeye akafungua duka pale alipofungua akaita kijana mwingine akaja nae ndani ya mwaka akafungua duka la kwake, rotation inaendelea hivyo yaani

Makabila mengine yamekalia Ubinafsi tu pumbavu
 
Binafsi nimesoma na waarabu, yaani wenzio wanapelekwa shule wajue kusoma na hesabu basi,

Yaani wakitoka shule saa nane wanakaa dukani kuuza, nyie waswahili si hamuwakabidhi wenu mnaogopa mtoto ataiba Pipi.

Niliosoma nao waliishia darasa la saba na kukabidhiwa maduka kuuza/kufanya biashara, now kuna limoja lina miliki sheli.
 
Hilo pia linafanywa sana na wachaga na wakinga, anaanza kumfundisha mtoto biashara tangu akiwa mdogo.
Hapo labda kwa wachaga napo ni wachache sanaaaa!!, Hao wakinga wengi nimeishi nao , wana fikra za KILA MTU AJITAFUTIE CHA KWAKE, na hii ndio inasababisha biashara nyingi sana kuvurugika baba akifariki, Nina rafiki mkinga nilisoma nae hizo shule ila Baba alipofariki akahamishiwa shule za serikali na hapo tayari alikuwa na kaka zake wenye miaka 20 huko
 
Umenyooshaaa mkuu...

Ubinafsi,ubinafsiii umetujaa ..

Mtu Kwenye familia anapesa lkn kusupport hata wadogo zake mtaji n shidaa..

Anatakaa aonekanee kwenyee ukoo yy pekee ndio tajirii[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hivyo yaan mijitu imejaa Ubinafsi wa kufa mtu haijui kunyanyua wenzao yeye anataka aonekane yeye tu ndio mwenye kipato siku akidondoka hata watoto wake hawawezi kuendeleza alipoishia wakati ndugu zangu wachaga wananyanyuana wao kwa wao na wanapeana support nomarawa,
 
Waswahili Dunia nzima wapo hivyo hawapendani
 
Mkuu umelewa? Pumzika, kesho nayo siku.
Ajalewaa mkuu semaa ujamwelewaa tu alivyotukanaa [emoji23][emoji23][emoji23]kutukana kwake anamaanishaa huo udokta ulionao uliendaa shulee kusomea ujingaa [emoji23]..Kwa kutokuamini kwako hakuna watu wanaingiza billion faida Kwa mwezii,,.....ilangali Kuna makampuni kibao tu hayo hayo ya waindi kuingiza hyo b kitu Cha kawaidaaa,,

Dr Kuna watu wamewekezaaa mpk htr....
 
Wachaga sio kwamba wananyuana ndugu Bali jamii moja mfano angalia maduka Mengi ya wachaga wale sio. Ndugu Bali kabila moja


Mbantu akunyanyue eti kisa we nindugu yake thubutu wachache mno Sana.
 
Wachaga sio kwamba wananyuana ndugu Bali jamii moja mfano angalia maduka Mengi ya wachaga wale sio. Ndugu Bali kabila moja


Mbantu akunyanyue eti kisa we nindugu yake thubutu wachache mno Sana.
Sijakuelewa we unaishi Nchi gani? Sio ndugu Bali kabila moja ndio nini?

Makabila mengine hata hio kua kabila moja akupe support sahau, sasa hujanielewa nini? Wachaga wanaonyanyuana ndugu wapo wengi tu sema wewe ndio haujui,

Uliza kingine
 
Unaelewa maana ya Billion? Unatengeneza hiyo faida kwa Mtaji wa kiasi gani? Sikatai yapo makampuni yanatengeneza zaidi ya hiyo pesa monthly.

Je, unataka kusema ni kijana mwenye 40+ aliyeanza from scratch ana uwezo wa kutengeneza hiyo Billion 1 kama faida kwa mwezi? Nazungumza kwa Muktadha wa kuwapuuza wanaotengeneza faida ya 5m+ kwa mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…