Nimekuwa addicted mkubwa wa video za ngono

Pole usipende kukaa peke yako
Nafikir ww ni msichana tafuta mwenza mkiwa wote hutokuwa na huo mda wa kuangalia hayo mambo
 
Mkuu hizo ni nyingi na ngumu kwa inavyoonekana amekubuhu
Atafanya atakazoziweza.au akiona hizo ngumu afunge kila j3 na alhamisi maana itakuwa ibilisi amemteka hivyo ajiweke karibu na mungu na aamke usiku asali.
 
ILE SIKU SHETANI ANA-UNLOCK SIMU YAKO KILA MAHALI ULIPOZIWEKA... KISHA ANAZI-PLAY NA KUWEKA SAUTI HADI MWISHO... HALAFU NI MSIKITINI, KANISANI AU KWENYE DALALA, AU KIKAO OFISINI NA BOSI.... HAPO NDIPO HAUTOKUWA ADDICTED TENA
 
mkuu karibu mi naangalia sana kwenye pc ina sio adict
 
Dawa ni kuwa na mpenzi!....believe me!!.....Hakuna kitu kinachotesa mwili na akili kama mwanamke kukaa mda mrefu bila kutiwa au mwanaume kukaa muda mrefu bila kutumbukiza!!.....Mimi nilikuwa na shida kama hiyo ila baada ya kumpata babe imeishaa!!
 
sasa ndo umesema nini huko juu jaman shem, ujue hii lugha ilikuja na meli mm nimembulia mstari wa mwisho tu tena huko mwishoni.

PLs msaada mwenye aliye elewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…