Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Allah amekataza ila hakusema madhara yake.Hello wadau,
Currently nimekua nakula sana kitimoto yaani nakula mpaka mara 4 kwa week sometimes rost sometimes kavu.
Naomben kujua kama Kuna madhara yoyote kiafya
,nafanya diet,😂Hakuna ila jiandae kutoka shape zaidi
Chakula chochote usipokiandaa katika mazingira ya usafi na kisipoiva kina uwezekano mkubwa wa kuwa na parasites.Nyama ya nguruwe Ina minyoo wabaya ambao huathiri ubongo na mlaji wa mara Kwa mara anaweza kupatwa na matatizo ya kuzimia na kupoteza fahamu
Kwani ikipikwa vizur uyo minyoo hafithe most feared heath issue ni Pork Tapeworm (Taenia Solium infestation), particularly its tendency to involve the brain (neurocysticer-cosis), unaweza pata kifafa (Epilepsy) uzeeni
NashukuruKula nyama ya nguruwe kwa wingi kunaweza kuwa na madhara kadhaa kwa afya, hasa ikiwa haijaandaliwa kwa njia sahihi au ikiwa mtu ana matatizo fulani ya kiafya. Baadhi ya madhara hayo ni pamoja na:
1. Kuongeza Hatari ya Magonjwa ya Moyo
- Nyama ya nguruwe, hasa ile yenye mafuta mengi, ina kiwango kikubwa cha mafuta yaliyojaa (saturated fats) na kolesteroli, ambavyo vinaweza kuongeza hatari ya magonjwa ya moyo na mishipa.
2. Kusababisha Unene Kupita Kiasi (Obesity)
- Nyama ya nguruwe yenye mafuta mengi inaweza kuchangia ongezeko la uzito ikiwa inaliwa kwa wingi na mara kwa mara bila mpangilio mzuri wa lishe.
3. Kuongeza Shinikizo la Damu
- Bidhaa za nguruwe kama sausage, bacon, na ham mara nyingi zina kiwango kikubwa cha chumvi (sodium), ambacho kinaweza kuongeza shinikizo la damu na kuongeza hatari ya kiharusi.
4. Hatari ya Magonjwa Yanayotokana na Vimelea
- Ikiwa nyama ya nguruwe haijaiva vizuri, inaweza kuwa chanzo cha maambukizi ya vimelea kama Trichinella spiralis, ambacho husababisha ugonjwa wa trichinosis, wenye dalili kama maumivu ya misuli, homa, na uchovu.
5. Kuchangia Magonjwa ya Figo
- Kula nyama nyekundu kwa wingi, ikiwemo nyama ya nguruwe, kunaweza kuongeza mzigo kwa figo, hasa kwa watu wenye matatizo ya figo au shinikizo la damu.
6. Kuongeza Hatari ya Saratani
- Tafiti zimeonyesha kuwa ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi, hasa ile iliyochakatwa (processed meats) kama bacon na ham, unaweza kuongeza hatari ya saratani ya utumbo mpana.
AiseeeeNyama ya nguruwe Ina minyoo wabaya ambao huathiri ubongo na mlaji wa mara Kwa mara anaweza kupatwa na matatizo ya kuzimia na kupoteza fahamu
Sawa nitaanza kuepuka maana huwa napendelea portion ya mafuta mix nyama na ngoziYeah! Ni protein hiyo. Lakini uepuke zile portion zenye mafuta na ngozi. Ule nyama pekee.
Nje ya dsmuko wapi kwani?
Huaga sili na ugalii nakula na ndizi za kukaangaKama unakula kitimoto na ugali basi huo ugali ndo una madhara makubwa. Jitahidi uwe unakula kitimoto peke yake bila ugali, chapati, ndizi au kingine chochote jamii ya wanga.
Aiseeee
home cooked guarantees nyama kuiva to the core, lakini huko kwenye kuagiza kwa foleni na kulalamika kucheleweshewa, its a recipe ya kupata ugonjwa hatari wa "cysticercosis" through ingestion of undercooked pork containing the parasite's larval cysts (cysticerci).Kwani ikipikwa vizur uyo minyoo hafi
Wataalam wanadai hiyo minyoo ni migumu sana kufa, hivyo nyama ya nguruwe isipopikwa Kwa usahihi basi nafasi ya kula nyama ikiwa na minyoo Hawa inakuwa kubwa zaidChakula chochote usipokiandaa katika mazingira ya usafi na kisipoiva kina uwezekano mkubwa wa kuwa na parasites.
ningekuwa nakuja kukutembelea tuone tunafanyaje juu ya huyo mdudu A. K. A mbuzi katorikiNje ya dsm
Siyo kweli.Wataalam wanadai hiyo minyoo ni migumu sana kufa, hivyo nyama ya nguruwe isipopikwa Kwa usahihi basi nafasi ya kula nyama ikiwa na minyoo Hawa inakuwa kubwa zaid