We kula tu mkubwaHello wadau,
Currently nimekua nakula sana kitimoto yaani nakula mpaka mara 4 kwa week sometimes rost sometimes kavu.
Naomben kujua kama Kuna madhara yoyote kiafya
Hakuna shida, ndio vizuri hivyo.Hello wadau,
Currently nimekua nakula sana kitimoto yaani nakula mpaka mara 4 kwa week sometimes rost sometimes kavu.
Naomben kujua kama Kuna madhara yoyote kiafya
Naam karibuniKitimoto ni chanzo cha protein yenye ubora wa hali ya juu.
Pia ina virutubisho vizuri na vingi vya vitamin B (hasa B6 na B12) na madini ya chuma, zinc na selenium yanayosaidia kuwa na mifupa imara, mfumo bora wa kingamwili na kusaidia ukuaji mzuri wa seli.
Inaongeza pia nguvu za kiume kwa kuleta mzunguko mzuri wa damu. Na kadhalika.