Nimekuwa mtu mwema nimeishia kudharaulika naombeni mbinu za kuwa na roho mbaya nisiye na hisia

mcheki paulo ama saba ya.
 
Omba kazi CCM ujiunge na UVCCM.
 
Ingiza kidole mdomoni king'ate mpaka kining' inie.. au chukua mnyama yoyoyote yule akiwa hai kama kuku paka nk washa moto mtupie mtazame huku ana ungua..hapo utakuwa na roho mbaya jombii
 
BE FREEE! acha kujifunza roho mbaya,
HAITAKUSAIDIAchochote ktk MAISHA yako.
usijifunze roho mbaya, bali jifunze KUJITAMBUA inatosha.jipende,jijali,jithamini,ishi maisha yako.
 
Pdidy Angekushauri vizuri sana.
Sema sijui kama ungemudu gharama za mafuta...ngoja mwana apate dhamana
ERoni
 
Haichukui nafasi ya daktari "we chukua tu pilipili jiwekee kwenye" "puru" la kisamvu cha kopo hayo mateke utakayoruka hapo watu wote watakuogopa!
 
acha kujifunza roho mbaya,
HAITAKUSAIDIA
chochote ktk MAISHA yako.
Na roho nzuri naye haijamsaidia.
Hapo juu nimetania lkn ukweli ukiwa na roho nzuri kuna wakati ni hasata, utatumika vibaya na utaumizwa sana
 
Haichukui nafasi ya daktari "we chukua tu pilipili jiwekee kwenye" "puru" la kisamvu cha kopo hayo mateke utakayoruka hapo watu wote watakuogopa!
Una roho mbaya🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…