Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Nakushauri acha kazi nunua baiskeli na uwe unabeba abiria mmoja mmoja,maana bajaji utabeba abiria wengi na mwisho wa siku watakusumbua bure.
Nilivyo kuelewa mm issue sio kuingiza pesa issue ni kupata amani ya moyo kwa kuwa hutaki kuwa chini ya watu si ndio?
Nilivyo kuelewa mm issue sio kuingiza pesa issue ni kupata amani ya moyo kwa kuwa hutaki kuwa chini ya watu si ndio?