Miss Natafutwa
Senior Member
- Dec 18, 2024
- 190
- 593
Kwahiyo unasaidia ili ufanikiwe?Nimekuwa mtu wa kusaidia sana angalau kwa kiasi kidogo ninachopata kuwatimizia wahitaji.
Anaweza akapita mtu anahitaji msaada wenzangu wote watakaa kimya ila mimi lazima nitoe hata kama nimebakisha hikohiko mfukoni.
Natoa sana msaada huko barabarani.
Najitoa sana kwa mtu hata kama kaja kwangu atahitaji kula au nauli ila ndio hivyo sifanikiwi na kila siku niko palepale maishani.
Je, naweza nikawa ninakosea kusaidia? Au kuna sehemu pana walakini?
Hivyo ndivyo ulivyoumbwa kiufupi hiyo ndio tabia yako wala usijilaumu,utakapojizuia kumsaidia mtu wakati uwezo wa kumsaidia unao utajikuta unakosa amani.Nimekuwa mtu wa kusaidia sana angalau kwa kiasi kidogo ninachopata kuwatimizia wahitaji.
Anaweza akapita mtu anahitaji msaada wenzangu wote watakaa kimya ila mimi lazima nitoe hata kama nimebakisha hikohiko mfukoni.
Natoa sana msaada huko barabarani.
Najitoa sana kwa mtu hata kama kaja kwangu atahitaji kula au nauli ila ndio hivyo sifanikiwi na kila siku niko palepale maishani.
Je, naweza nikawa ninakosea kusaidia? Au kuna sehemu pana walakini?
Karibia kila mada nayofungua nakuta ushakoment... si mchana wala asubuhi..How can you do that?Saidia tu ila sio Kila msaada ni mzuri Tena hasa huu wa barabaran naskia Kuna uchawi mwingi so maybe upunguze misaada ya kupita njian dear si Kuna charity kama shida ni msaada
Saidia tu ila sio Kila msaada ni mzuri Tena hasa huu wa barabaran naskia Kuna uchawi mwingi so maybe upunguze misaada ya kupita njian dear si Kuna charity kama shida ni msaada
Jaman sio Kila mada mbona za siasa sipo au mpira nashukuru kunotice 😹😹Karibia kila mada nayofungua nakuta ushakoment... si mchana wala asubuhi..How can you do that?
Mlipa ya roho za uhurma ina riba kubwa achana nalo ni mda kuwa mr kuku sasa na LBL kudai kama ccmNimekuwa mtu wa kusaidia sana angalau kwa kiasi kidogo ninachopata kuwatimizia wahitaji.
Anaweza akapita mtu anahitaji msaada wenzangu wote watakaa kimya ila mimi lazima nitoe hata kama nimebakisha hikohiko mfukoni.
Natoa sana msaada huko barabarani.
Najitoa sana kwa mtu hata kama kaja kwangu atahitaji kula au nauli ila ndio hivyo sifanikiwi na kila siku niko palepale maishani.
Je, naweza nikawa ninakosea kusaidia? Au kuna sehemu pana walakini?
Oohhhh..... Hapo kwenye ambaye hazalishi pesa.... Fafanua zaidi Mkuu🙏🏽Saidia ila usitoe msaada wa kifedha kwa mtu si ndugu wa damu ama kwa mtu Ambae hazalishi pesa, wataalam wa mambo ya spiritual wanasema hivyo
Kuna wengine wana jifanya omba omba, ila ni chuma ulete.Oohhhh..... Hapo kwenye ambaye hazalishi pesa.... Fafanua zaidi Mkuu🙏🏽
Usimpe pesa Malaya, usimpe pesa omba omba. Usiitumie pesa Yako kuumiza watu n.k. mpe pesa mzazj wako, ndugu Yako wa damu, mke wako, watoto wako, wafanyakaz wako, partner wako/ mpambanaji mwenzio. Hao wengine wape mahitaji si pesa. Akikuomba hela ya msosi mnunulie msosi aleOohhhh..... Hapo kwenye ambaye hazalishi pesa.... Fafanua zaidi Mkuu🙏🏽