Miss Natafutwa
Senior Member
- Dec 18, 2024
- 190
- 593
Nimekuwa mtu wa kusaidia sana angalau kwa kiasi kidogo ninachopata kuwatimizia wahitaji.
Anaweza akapita mtu anahitaji msaada wenzangu wote watakaa kimya ila mimi lazima nitoe hata kama nimebakisha hikohiko mfukoni.
Natoa sana msaada huko barabarani.
Najitoa sana kwa mtu hata kama kaja kwangu atahitaji kula au nauli ila ndio hivyo sifanikiwi na kila siku niko palepale maishani.
Je, naweza nikawa ninakosea kusaidia? Au kuna sehemu pana walakini?
Anaweza akapita mtu anahitaji msaada wenzangu wote watakaa kimya ila mimi lazima nitoe hata kama nimebakisha hikohiko mfukoni.
Natoa sana msaada huko barabarani.
Najitoa sana kwa mtu hata kama kaja kwangu atahitaji kula au nauli ila ndio hivyo sifanikiwi na kila siku niko palepale maishani.
Je, naweza nikawa ninakosea kusaidia? Au kuna sehemu pana walakini?