Hivi kaka yule mzee wa hii siti namba moja anakujua?Mleta mada we ni waki.
Jua tu hivyo. Mimi sina msaada na wewe. Endelea kuperembwa.
Ushaambiwa ukubali kurudisha vitu vya watu,utapata nguvu ya kusema muachane.Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
Rudisha vitu vyote vya baharia kisha Mwambie nia hako ya kutaka kuwa huru, huwezi kula mali za mkulungwa kisha utake kuescape kifala fala utakuja kufa kifo cha popo bwege wewe.Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.
Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.
Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?
Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.
Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.
Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.
Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
Acha tabia mbaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bwana wee yaani wakati anapewa mkoko na nyumba hajatuita tumshauri sasa ameshakula hela za mume wa mtu ndio anajidai nina kamjamaa nadate nako ndio mapenzi ninayotaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sasa mie tabia ynagu mbaya ni ipi hapo? nyie warembo ndio muache tabia mbaya ya kutunzwa alafu baadae mnajidai nataka true love.Acha tabia mbaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mama atajengewa nyumba ndio utashangaa mama naye anasema mwanangu wewe mzalie tuu muhimu hudumaMwambie tu kimahaba huku unakuna kitambi chake au kifua chake kwamba bby unajua umri unaenda na mimi nahitaji kuolewa na nyumbani umeshatafutiwa mchumba[emoji848]
Kwani jamaa yy hajafaidi? The lady wants to move on na yeye awe na familia yake.sasa mie tabia ynagu mbaya ni ipi hapo? nyie warembo ndio muache tabia mbaya ya kutunzwa alafu baadae mnajidai nataka true love.
nashangaa ule msemo wenu wa better to cry kwa merc than a bicycle utekelezaje wake unakuwa mgumu
Eeehhh...labda kama sugar daddy anafahamika kwao.mama atajengewa nyumba ndio utashangaa mama naye anasema mwanangu wewe mzalie tuu muhimu huduma
wee bwana warembo wa mujini walishazoea life zuri unadhani kuviachia hivyo vitu inakuwa rahisi kihivyo bwana. cha msingi bidada yeye aendelee kumpa jamaa mbusus basi na kumwambia ukweli kuwa mie kwa sasa siwezi kuzaa na mume wa mtuile kutombaaa wee tombaaa tuu style zote utaakazoKwani jamaa yy hajafaidi? The lady wants to move on na yeye awe na familia yake.
Kama shida ni hizo vitu, mbona mdada wa watu alimpatia mahaba tele pia but kama vipi anaweza virudisha ili awe free
wewe bwana sasa mtu kamjenge mrembo nyumba bado alalipa kodi ya nyumba na mkoko juu plus other viwanja atashindwa mjengea nyumba mamaa ya murembo ili kulainisha mambo yeye apate nke wa pili?Eeehhh...labda kama sugar daddy anafahamika kwao.
Kwani dada amekwambia kuwa mamake hana pakukaa?
dini yako ni ipi?Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua nimechoka na nahitaji kujing’atua ila nakosa njia nzuri ya kuachana nae. Am not even proud with what i did so if you judge me i’ll understand.
Huyu mtu tangu nafahamiana nae ameyabadilisha sana maisha yangu maana ana mchango mkubwa sana. Alinisaidia kupata kazi nzuri na kuachana na kakazi kangu nilikokuwa nafanya, alinihamisha na kunipangishia sehemu nzuri zaidi. Baadae alininunulia gari nami nikawa natembea nimekaa, pia amenijengea nyumba iliyo kwa jina langu ila kwakuwa ipo nje ya mji nimeipangisha nakula kodi ila bado analipia kodi hapa ninapoishi.
Mahusiano yalipoanza sikufikiria hata yangechukua miezi 6, ila sasa ni miaka mitatu+. Ni mwanaume anayejali sana ila ana wivu balaa. Ni mara kadhaa amekuwa akinitishia kuwa akigundua ninamsaliti atanikata shingo. Sasa huwa najiuliza huyu ni mume wa mtu, anatarajia kweli niwe na yeye tu ili iweje?
Sasa nimechoka jamani, natamani niwe na mpenzi wangu na sio mume wa mtu. Kuna huyu kijana nimeanza nae mahusiano sasa ni miezi 5, kusema kweli nampenda na ninaona kabisa nae ananipenda. Haya ndio aina ya mahusiano niyatakayo. Nimekuwa nikitafuta visingizio kuwa asije kwangu maana sio maadili ila ukweli ni kuwa naogopa mlipa kodi akijua atanitoa roho.
Huyu mume wa mtu nishamtafutia visingizio ili tuachane ila inashindikana. Natamani yeye ndio aanze ili asije kuwa na kinyongo. Ila kuna wakati najipa moyo kuwa nimwambie tu tuachane lakini nikikumbuka aliwahi kunikunja nusura anipige alipokuta msg asizozielewa kwenye simu nahisi kutetemeka. Aliwahi kunionyesha silaha anayomiliki, nilipomuuliza ni ya nini akasema hata mimi nikimletea ujinga ananifyatua. Japo ulikuwa utani ila niliogopa kusema kweli.
Balaa zaidi recently ameanza kung’ang’ania nimzalie. Nimekuwa nikijifanya mimba hazishiki ila kusema kweli natumia dawa zisishike maana siko tayari kuzaa nae. Kwanza nahisi kama suffocation maana ananibana sana. Kwangu anakuja tu muda wowote akijisikia, na ole wangu asinikute nyumbani ni tatizo kubwa. Kila ninachofanya anahitaji apate taarifa kwanza, yaani kama mkewe vile jamani.
Nimejaribu kuelezea haya ili angalau muelewe ni kwanini nahitaji msaada wa mawazo yenu ili nijikwamue kwenye hili shimo nililojichimbia. Nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu.
hii ni idea nzuri sema huyu dada sio rahisi kurudisha ivyo vitu, na huenda akivirudisha huyu aliyempata sasahivi akamkimbia. Karma ipo, usikute na yeye anachunwa kama alivyomchuna mme wa mtuThread Tele Humu Watu Wanakufa Kisa Mapenzi Nawe Umeanza
Rudisha
Gari Alilokununulia
Nyumba Aliyokujengea
Kodi Anayolipa
Halafu Huyo Unayempenda Mkaanze Upya
Hapo Umenasa Mwenyewe, Huna Namna
wametumianaUshamtumia ndo unamuacha?
wanaume by nature hawapendi kushindwa, hata kama anajua ana mke sio rahisi kukuachia kirahisi uende tu kuolewa na boya mwengine. From the story huyo mume wa mtu pesa kwake sio issue, yani kitendo cha uyu dada kumuweka wazi amepata mwanaume mwengine atanyongwa maana atahisi amemdhalilisha, ila asikubali kuzaa nae, ushapitia topic za single mother humu ndani?Gunia 4 za mkaa zinakuhusu wewe
PS. Kaa nae umueleze ukweli juu ya maamuzi yako na sio uamue tu kumuacha. Najua unahofia anaweza kukunyanganya materials alizokupa! Bora umwambie kuhusu future yako ili yeye aamue kukuacha na achukue mali au akuachie AU akufanye mke wa pili....Wengi tu wameolewa na watu wasiowapenda
Hayo ndio madhara ya kumpenda mtu kutokana na Status/materials aliyonayo na sio kutoka ndani ya Roho yako🚶🚶🚶
atazeeka ataachwa hana kitu, ujana maji ya motowee bwana warembo wa mujini walishazoea life zuri unadhani kuviachia hivyo vitu inakuwa rahisi kihivyo bwana. cha msingi bidada yeye aendelee kumpa jamaa mbusus basi na kumwambia ukweli kuwa mie kwa sasa siwezi kuzaa na mume wa mtuile kutombaaa wee tombaaa tuu style zote utaakazo