Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Ila sijui baadhi ya wanawake mnamatatizo gani,wewe toka anakutongoza unajua kbc ni mume wa mtu ila ukamkubali jamaa akaanza kuwekeza kwako ukaendelea kumpa mapenzi moto moto yaani huwazi kbc huko mbeleni kitatokea nn.Hukujua kwamba utahitaji ndoa au kuzaa?ili ujue hako Kajamaa kanakupenda mpe hizo bili alipe yeye uone atakavyo kimbia mwendo wa duma wakati yeye mwenyewe kafuata mserereko kwako.
 
Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
You haven't messed a thing up lady.

Relaaaaax.

Hii ni taaluma ya mtu na watu wanalipia consultancy fee, SaaS tutatoaje tu ushauri bure bure jamani??

Jiongeze bhana PM za wana ziko wazi
 
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Aya sasa wacha tukushauri.
Ushauri wangu hapa ni kwamba uhai ni muhimu. Ili uokoe uhai wako rudisha gari rudisha nyumba sema hivyo vyote sivitaki.
Kama unaona unataka chill with the big boys wee endelea tuu kumpa jamaa mbususu basi ule life ila sasa usije ukasaba isha kifo cha huyo kijana mwengine. So achana nae kabisaa na umwambie why. Wewe uishie kuwa na huyo mume wa mtu basi cha muhimu sii anakupa huduma bwana...security that money provides.

Out of topic. Inaelekea mrembo una tako na mbususu tamu mpaka jamaa anajenga nyumba😂😂😂😂
 
Thread Tele Humu Watu Wanakufa Kisa Mapenzi Nawe Umeanza
Rudisha
Gari Alilokununulia
Nyumba Aliyokujengea
Kodi Anayolipa

Halafu Huyo Unayempenda Mkaanze Upya
Hapo Umenasa Mwenyewe, Huna Namna
Sasa kwanini arudishe? Kwani jamaa nae hajafaidika?
 
Wanawake mko na roho mbaya sana, asilimia kubwa ya comments mpaka sasa zinatoka kwa wakina dada, lakini vile wanvyomkandia mleta mada badala ya kumsaidia wana msuta.
Sasa wamsaidie nini wakati ata wao wengi wao wangejengewa nyumba na gari wangekubali kuliwa mbususu na mume ya mutu.
 
Aya sasa wacha tukushauri.
Ushauri wangu hapa ni kwamba uhai ni muhimu. Ili uokoe uhai wako rudisha gari rudisha nyumba sema hivyo vyote sivitaki.
Kama unaona unataka chill with the big boys wee endelea tuu kumpa jamaa mbususu basi ule life ila sasa usije ukasaba isha kifo cha huyo kijana mwengine. So achana nae kabisaa na umwambie why. Wewe uishie kuwa na huyo mume wa mtu basi cha muhimu sii anakupa huduma bwana...security that money provides.

Out of topic. Inaelekea mrembo una tako na mbususu tamu mpaka jamaa anajenga nyumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna wakati huwa nafikiria kumrudishia gari na hati ya nyumba na viwanja alivyoninunulia kisha nimwambie tuachane. Ila nahofu atavipokea bila kinyongo?

BTW Sina hata huo uzuri na hilo tako unalofikiria ninalo. Ni wa kawaida sana.
 
Ujengewe nyumba
Gari ununuliwe..
Kazi nzuri utafutiwe ..


Halafu unasema anaku suffocate?

Tukusaidie umuache vipi?

Huyo Kijana umemwambia kuhusu kodi?


Why usirudishe nyumba na gari kwanza uone huyo Kijana mpya atakupenda vipi?

Ukiuliwa wala usimlaumu mtu
Huna akili
safi mkuu
 
Back
Top Bottom