Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Acha hizooo best acha na mwenzio akaenjoy bana. Pia inafikia wakati huwa tunataka kutulia na ndoa zetu so kiroho safiii TU mruhusu mwenzio awe na ndoa yake na familia yakeHii kitu tangu Jana haijanipa utulivu, but tuombe mungu asiwe Ni mama j.
Ila Kama Ni yeye kaja kuanzishia Uzi huku, na Nia yake Ni Kama iyo ya mtoa mada
Nakuhakikishia,
Ntamshikisha adabu atasimulia vizazi vyake vyote[emoji4]