Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

Comments ziko zaidi ya 250+ na bado hujaelezea hizo stories zako za nyuma unaruka ruka tu em acha kujaza server za watu bure weka vitu watu tusome tukushauri in a positive way wala hatuku judge sie, anae judge kwa haki ni Mungu pekee...

Leta vituz binti Kivuruge
 
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Ndiye wewe naomi tuliyekutatua marinda pale mtaani kwetu? Mweleze tu!
 
Mwanaume akikubembeleza kumwambia ukweli kama umepelekewa moto au kaaa kataa mpaka kufa kwani ukikubali tu umeachwa hata kama atajifanya amekusamehe.... kosa la mwanamke kutombwa ndio kosa kubwa kuliko yote, jitahid asijue kama watu walikuwa wanakupelekea moto kiroho mbaya....
 
Akisikia ile stori ya kupigwa mande na washkaji 7 na ukanyanyuka kama hamna kitu imetokea lazma akuache mkuu
 
Kwan uliua mtu??
Yote ni yote hakuna mkamilifu kwenye hii Dunia Hakuna🙄 yaliyopita yamepita labda kama unaendelea nayo wengi wamepitia ujinga mwingi muda ukifika unatulia mwenyewe bila kushikiwa fimbo kama umetulia bas mda wako ndo huo
 
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu h
u cannot change past , and dont bother about future focus with present and leave happy life.
aina umuhimu?
 
We nyamaza tu,ikiwezekana zile tabia zako zifanye tu, atakusamehe maisha yataendelea,
Unajua mwanaume anaweza kumuacha binti aliyemtoa bikira akaja kumuoa single mother wa watoto watatu kisha akalalamika maisha magumu,.......huna cha kupoteza dada,wanaume wapo wengi sana
😂😂😂😂😂
 
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Ndugu yangu. Muhim kuomba tu MUNGU akusaidie.

Mweleze kua hukua na background nzuri.
Ila usimwlelezee how .. mwambie umebadirika na upo tauar kua nae . Ila usimweleze how .....

Mimi mpenzi wang mpaka sasa nishamwacha. As wanaume hatuwez kubeba sexual background ya wanawake wetu. Kama wao wanavyoweza kubeba zetu.
 
Hiyo background ni chafu kiasi gani mpaka akifuatilia ikupe shaka, na kwanini afuatilie,
Na ukimwelezea akakuacha?
Hiyo historia ukiisema itakuja kua kama fimbo
Kama amekupenda hata asikie jambo gani la nyuma hata kama ulikua malaya, mwizi, stripper mla bangi shisha itabaki kuwa ilipita,
Historia hubadili future ya mpumbavu pekee
 
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
IMG_20250306_101425_548.jpg
 
Back
Top Bottom