Nenda kanisani, YESU alikuja kuokoa kilichopoteaShida ni kuwa bado najiona mkosefu sana🥲🥲
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kanisani, YESU alikuja kuokoa kilichopoteaShida ni kuwa bado najiona mkosefu sana🥲🥲
Huko kanisani ndiyo sielewagi kituNenda kanisani, YESU alikuja kuokoa kilichopotea
Asante mkuu hili swala nitalifanyia kazi mapema sanaNaweza sema mimi ni moja ya aina wanaume unawaeleza, napenda sana fuatilia background ya mwenza.
Huwa nafuatilia kwa malengo tofauti, lakini kwenye swala la historia ya mahusiano napenda kujua athari ambayo mwenza aliipata kwenye mahusiano aliopitia.
Inaweza isiwe muhimu kueleza kwamsisitizo mahusiano uliopitia kwa mwenza ili umfanye ajihisi kuwa yeye ni wapekee ila ueleze kitaalamu athari ulizopitia ambazo unahisi zitaaribu mahusiano yenu.
Mfano km mahusiano yako ya nyuma yalikufanya usiwe na imani juu ya wanaume au usijiamini, unaweza ukatumia njia ykueleza background yako kwa kukandia machafu uliofanyiwa nyuma. Kitu ambacho usifanyi kosa ni kueleza kitu kinafanya kumsifia x wako.
Nyie wanawake tukitumia njia ya kuingiza urafiki kwenye mahusiano huwa mnajisahau sana, nilifanya hvyo kwa binti ambae alionesha kunipenda, baada yakumfanya awe rafiki akaanza kusema "Yani mimi sidhani km takuja kupenda km nilivyompenda G naomba naww usiwe km G" huyo G ni xwake automatically lilinifanya nikapunguza mpaka kuondoa mapenzi kwake. Sikushauri ufanye hilo kosa
Lakini vile vile usitolei macho background ya mahusiano tu angalia na malezi pamoja na mazingira uliokulia, km kunavitu unahisi ulipitia kwenye malezi na huenda vikaleta athari kwenye mahusiano ni bora umwambie.
Mfano: pengine historia yako labda pindi unasoma wazee wako walipenda kukuhusisha na mila za ajabu ambzo ukifanya kwa mtu wako anaweza hisi wewe ni mshirikina na yeye sio wa mambo hayo bora useme tu mapema vitu vinafanana na hvyo.
Generally: nivyema kuweka wazi vitu ambavyo unahisi vitakuja kuleta athari km hatovijua kipindi cha hichi cha ulevi(honeymoon)
Ndiyo utulize kichwa chako uelewe sasa labda kama unayapenda maisha yako ya nyuma , lakini kama huyataki utatuliza komwe vizuri,😄😄😄Huko kanisani ndiyo sielewagi kitu
Ukiandaa nitagAsante daktari ngoja niandae sasa thread ya kufunguka
Kwasasa nimetulia mno watu waliokuwa wananiona kwenye maisha yale ya mwanzo na sasa hivi hadi wananishangaa sanaNdiyo utulize kichwa chako uelewe sasa labda kama unayapenda maisha yako ya nyuma , lakini kama huyataki utatuliza komwe vizuri,😄😄😄
Pamoja sana broSawa sawa nitakutag
Half american
Acha wakushangae, hata Paul mtume walimshangaa, sasa tafuta upako wa YESU, hizo roho zikutoke kabisaKwasasa nimetulia mno watu waliokuwa wananiona kwenye maisha yale ya mwanzo na sasa hivi hadi wananishangaa sana
Wote tuwape na wengine ajira huko masteshenari watype vitabuKwa hiyo atahadithia wapenzi wangapi?
acha upumbavuSawa mkuu, ngoja nianze kuiandaa
Hujasema aina ya hayo maisha tupime uzito je;Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Hakika nitaanza huo mchakatoAcha wakushangae, hata Paul mtume walimshangaa, sasa tafuta upako wa YESU, hizo roho zikutoke kabisa
Acha ujinga wewe.Hata mimi niliwaza hivyo ni heri nimwambie moyo wangu ubaki na amani aamue yeye
Sawa asante kwa mchango wakoacha upumbavu
stori yako kaa nayo, unataka tuanze kukuhukumu sisi kabla ya jamaa ako
hapa ni umbea tu watu wanataka fahamu mambo yako, kaa na siri zako bwege wewe
Zimenizidi nimeshindwa kuzibeba😢😢Acha ujinga wewe.
Unashindwa kuficha hata Siri zako mwenyewe?
sasa jifanye kuwasikiliza wanao kwambia kwa upole twambie tujue shida niniSawa asante kwa mchango wako