Ni mambo marefu, hata hivyo mimi siyo mwandishi mzurisimulia,leo tuna muda.
SummarizeNi ndefu mno sitaweza kumaliza
We nyamaza tu,ikiwezekana zile tabia zako zifanye tu, atakusamehe maisha yataendelea,Kwahiyo ni heri nimwambie au ninyamaze?
Hapana siyo ya kuliwa nyuma nikipata muda nitaelezaNi historia gani mbaya unayo, kwa sasa nadhani kubwa kuliko yote ni kuliwa nyuma, zaodi ya hapo naona mengine yanazungumzika. Na pia unaweza kushangaa jamaa akaelewa tu manake wengi ndio kazi yao...
Mengine yote yanazungumzika, hata kama umejaza coaster.
Mh! Hapa unanichanganya sasa niendelee wakati nimeshaamua kutuliaWe nyamaza tu,ikiwezekana zile tabi zako zifanye tu, atakusamehe maisha yataendelea,
Unajua mwanaume anaweza kumuacha Binti aliyemtoa Bikira akaja kumuoa single mother wa watoto watatu kisha akalalamika maisha magumu,.......huna Cha kupoteza dada,wanaume wapi wengi sana
Kivipi?Kawaida, unaanzia pale ulipoishia
Akijua haitakuwa shida?Nyamaza kimya milele.
😁😁jina halisadifu tabiaMtoa mada jina lake ni
Naomi KIVURUGE
Haya nikipata muda nitafanya hivyoSummarize
Akijua kataaaAkijua haitakuwa shida?
Hahahahahaha usijali dada kivuruge, tuko pamojaa😁😁jina halisadifu tabia
Acha kujibu comment mojamoja andika hiyo story ungekuta ushaimalizaHapana siyo ya kuliwa nyuma nikipata muda nitaeleza
Hiyo kweli changamoto, ni heri kunyamaza kumbeNi kweli atakuacha ,niliacha binti baada ya kujua imeliwa na wanaume zaidi ya 11 afu inataka itulie kwangu me sio tulizo la malaya