Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kiv
Kivipi?
Pale ulipokutana nae, ndio unapoanza ukurasa mpya; mambo ya kuelezana zamani ulikuwa sokwe, hayasaidii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiv
Kivipi?
Honeymoon unamaanisha akishanioa au?Kama una uhakika atatambua basi ni vema ukaweka madudu yako yote hadharani wakati bado mpo kwenye Honeymoon Period..., Sababu akishaanza kukuchoka hii itakuwa moja ya sababu ya visingizio vya kupigwa kibuti..... Kwahio kabla ya commitment put your cards on the table ila baada ya commitment (yanayofanyika within commitment) Jiulize....
Should you Confess?
If you open your mouth, one of two things happens. She either forgives you or she leaves you. At best, you wind up exactly where you are right now. It's noble to want to confess. Really, it is. But if the result's just damage and pain, that's not noble. That's selfish. House MD: My Two Cents...www.jamiiforums.com
Nakuangalia wapi sasa?? Tuma picha tukuangalieWala mimi siyo kivuruge ni mpole sana hata ukiniangalia
Hapo nimekuelewa asante, nitaifanyia kazi hiiMtu yeyote atakaekuhukumu kwa yale uliyoyafanya ukiwa haukuwa na mahusiano na yeye basi huyo si mtu sahihi.
As long as unajua kuwa huna mtoto kabla yake yeye, huna video za utupu, hujawahi kuua basi hana sababu ya kujua chochote ya ulichofanya kabla ya kuwa na yeye.
Ila kama ni mambo ambayo unahisi yanaweza kugundulika bila hata ya wewe kumuambia kama mifano niliyotoa hapo juu, basi ni busara kwa mwenzi wako kuyajua toka kwako na si kwa mtu mwingine.
Ikiwa anakupenda kwa dhati, hakika haitokuwa sababu ya kukuacha ama kukuhukumu.
Yaani wala usihofu,kama zile tabia zako mbovu zinakupa furaha we ziendeleze tu,..............Mwanaume atakusamehe maisha yataendelea,kama Aziz Ki amemuo dada aliyezalishwa na wanaume wawili na alikua na uwezo wa kuoa Bikira kutoka nchi yeyote Ile ya Africa,unataka ushahidi gani tena wa kuwaogopa wanaume?Mh! Hapa unanichanganya sasa niendelee wakati nimeshaamua kutulia
Kwa hio angekua ameliwa na wanaume 20 na usingejua,Binti angetulia kwako?Ni kweli atakuacha ,niliacha binti baada ya kujua imeliwa na wanaume zaidi ya 11 afu inataka itulie kwangu me sio tulizo la malaya
Ukweli unaweza kufanya niachike nahofia hilo🥲😔Sema tu ukweli kabla ya walimwengu hawajakusemea mkuu ila pole sana
Unadhani atagundua kwa namna gani? Kuna watu wengi walikuwa wanajua nyendo zako? Ni watu wa karibu yako, majirani au wanafunzi wenzako? Mimi sioni umuhimu wowote wa kumwambia japo unaweza kusema kiujumla jumla tu, kuwa uliokuwa mdogo ulikuwa umeyumba kidogo lakini sasa hivi kila ukifirikiria unaona kama ulikuwa mjinga sana. Nawajua wanawake wengi sana walikuwa chakaramu mtaani walipokuwa wadogo lakini baadae wakaolewa na kutulia na kila mtu akashangaa. Cha muhimu ni unaishije sasa na siyo uliishije siku za nyuma. Na muhimu: marafiki zako wote mlikuwa mnadanga wote usikubali kuwa nao tena karibu unless wamebadilika.Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Hakuna tabia mbaya iliyowahi kunipa furaha ndiyo maana nikaacha, lakini wanaume ni watu wanapenda sana kufatilia background za wenza wao that's why nahofia akija kujua huko mbeleniYaani wala usihofu,kama zile tabia zako mbovu zinakupa furaha we ziendeleze tu,..............Mwanaume atakusamehe maisha yataendelea,kama Aziz Ki amemuo dada aliyezalishwa na wanaume wawili na alikua na uwezo wa kuoa Bikira kutoka nchi yeyote Ile ya Africa,unataka ushahidi gani tena wa kuwaogopa wanaume?
Swali zuri sana, na kuna uwezekano mkubwa huyo alikuja au atakayekuja kusema ndiyo anafaa, atakuwa alitembea na wanaume hata 30.Kwa angekua ameliwa na wanaume 20 na usingejua,Binti angetulia kwako?
Ulikuwa na multiple partners? Ulifanya abortions nyingi? Una ukimwi? Mkuu maisha haya kila mtu ana lake jambo...Hapana siyo ya kuliwa nyuma nikipata muda nitaeleza
Usianze kuelezea maisha yako ya nyuma. Wanaume wengi huwa wanakwazika wanapogundua mwanamke alitembea na fulani japo siyo wote.Ukweli unaweza kufanya niachike nahofia hilo🥲😔
Kwasasa ninaishi maisha ya kawaida sifanyi yale mambo tena na wala sina marafiki, niliwaza tu mbeleni kama labda akafatilia akajua, kwa hili jibu lako nikimwambia kuwa niliteleza nilipokuwa mdogo atataka maelezo zaidi🥲Unadhani atagundua kwa namna gani? Kuna watu wengi walikuwa wanajua nyendo zako? Ni watu wa karibu yako, majirani au wanafunzi wenzako? Mimi sioni umuhimu wowote wa kumwambia japo unaweza kusema kiujumla jumla tu, kuwa uliokuwa mdogo ulikuwa umeyumba kidogo lakini sasa hivi kila ukifirikiria unaona kama ulikuwa mjinga sana. Nawajua wanawake wengi sana walikuwa chakaramu mtaani walipokuwa wadogo lakini baadae wakaolewa na kutulia na kila mtu akashangaa. Cha muhimu ni unaishije sasa na siyo uliishije siku za nyuma. Na muhimu: marafiki zako wote mlikuwa mnadanga wote usikubali kuwa nao tena karibu unless wamebadilika.
Honeymoon period, yaani wakati bado anakupenda, wakati bado akiona Chongo anaita Kengeza.., hapo hata ukipitisha nini atasema yaliyopita si ndwele tugange yajayo..,Honeymoon unamaanisha akishanioa au?
Hapana mkuu, ila ni mambo ambayo kuelezea inakuwa changamoto watu watanihukumu sana🥲Ulikuwa na multiple partners? Ulifanya abortions nyingi? Una ukimwi? Mkuu maisha haya kila mtu ana lake jambo...
Yaani Hadi umejipa nickname KIVURUGE! Yaelekea ulikuwa malaya mbwa!Hata mimi niliwaza hivyo ni heri nimwambie moyo wangu ubaki na amani aamue yeye