Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Hakuna haja.

Kwani yeye ashakusimulia uhuni na ugangwe wake aloufanya nje ya macho yako?

Kwanza mshapima?

Ipo hivii, hisia za binadamu zimetofautiana.

Wapo wanaoweza kuhimili kusikia historia mbofu mbofu za mahusiano ya nyuma ya wapenzi wao na wengine hawawezi, huvunjika moyo na kupiga vibuti mazima.

Jitathimini hizo pupa zinazokusukuma kufanya kihere here na kimbele mbele, zizuie zaweza kukugharimu.
 
Mahusiano ni umalaya tu.
Usiwe na hofu muambie maana mmekutana kwenye umalaya. Huna Cha kuficha, Wala kutubu, Wala ku- confess. Siku akipata mahusiano (Malaya) mwingine, atakushiti tu. Your not safe yet
Mwache mwenzako ajiropokee ili moto umuwakie.

Hawara yake ashawahi kumuungamia ufuska wake?
 
Hakuna haja.

Kwani yeye ashakusimulia uhuni na ugangwe wake aloufanya nje ya macho yako?

Kwanza mshapima?

Ipo hivii, hisia za binadamu zimetofautiana.

Wapo wanaoweza kuhimili kusikia historia mbofu mbofu za mhusiano ya nyuma ya wapenzi wao na wengine hawawezi, huvunjika moyo na kupiga vibuti mazima.

Jitathimini hizo pupa zinazokusukuma kufanya kihere here na kimbele mbele, zizuie zaweza kukugharimu.
Aliwahi kuniambia mambo yake baadhi aliyowahi kuyafanya, kupima tulishapima
Kutokana na ushauri wenu nimeona siyo vyema kumwambia.
 
Mhhh
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Mhhhh kwamba unataka utoboe Siri kuwa na marinda huna au?????

Ukimwambia hii lazma akuache, mwanamke Gani unakubali kufumuliwa mpaka marinda aiseeee,

Mwache mwenyewe atakuja gundua badae baada ya kukuweka dog staili, na hapo mtakuwa tyari mpo kwenye ndoa kwahiyo ujanja atakuwa hana.

Wee kausha hivohivo.
 
Mhhh

Mhhhh kwamba unataka utoboe Siri kuwa na marinda huna au?????

Ukimwambia hii lazma akuache, mwanamke Gani unakubali kufumuliwa mpaka marinda aiseeee,

Mwache mwenyewe atakuja gundua badae baada ya kukuweka dog staili, na hapo mtakuwa tyari mpo kwenye ndoa kwahiyo ujanja atakuwa hana.

Wee kausha hivohivo.
😁😁umefika mbali sana mkuu, wala siyo hivyo kabisa
 
Ya kwake ya nyuma unayafahamu mbali na machache aliyokusimulia?
Mambo ya nyuma ya nini kama umesonga mbele we songa kugeukageuka nyuma utageuka nguzo ya chumvi cute
Alinisimulia machache wala siyo mambo mazuri kabisa ila mimi nilishayapotezea as long as amesema hafanyi tena, asante sitageuka nyuma wala kumwambia chochote cha nyuma.
 
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Bora upige kimya ajue mkishakuwa na watoto watatu na kuendelea Mimi ni mwanaume nawajua wanaume wenzangu hawawezagi jivisha mabomu Kwa kujitoa mhanga kuoa demu mwenye historia chafu
 
Back
Top Bottom