Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #81
Sawa mkuu, ngoja nianze kuiandaaAcha kujibu comment mojamoja andika hiyo story ungekuta ushaimaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, ngoja nianze kuiandaaAcha kujibu comment mojamoja andika hiyo story ungekuta ushaimaliza
Wewe ni mwanasaikolojia?unahitaji ushauri wa kisaikolojia, unaniruhusu nije inbox?
changamka sasaSawa mkuu, ngoja nianze kuiandaa
Hakuna haja.Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Mbona sasa bikra ikatoka mapema hivyoWala mimi siyo kivuruge ni mpole sana hata ukiniangalia
Mwache mwenzako ajiropokee ili moto umuwakie.Mahusiano ni umalaya tu.
Usiwe na hofu muambie maana mmekutana kwenye umalaya. Huna Cha kuficha, Wala kutubu, Wala ku- confess. Siku akipata mahusiano (Malaya) mwingine, atakushiti tu. Your not safe yet
Aliwahi kuniambia mambo yake baadhi aliyowahi kuyafanya, kupima tulishapimaHakuna haja.
Kwani yeye ashakusimulia uhuni na ugangwe wake aloufanya nje ya macho yako?
Kwanza mshapima?
Ipo hivii, hisia za binadamu zimetofautiana.
Wapo wanaoweza kuhimili kusikia historia mbofu mbofu za mhusiano ya nyuma ya wapenzi wao na wengine hawawezi, huvunjika moyo na kupiga vibuti mazima.
Jitathimini hizo pupa zinazokusukuma kufanya kihere here na kimbele mbele, zizuie zaweza kukugharimu.
Shetani ni mbaya sana 😔🥲Mbona sasa bikra ikatoka mapema hivyo
Mhhhh kwamba unataka utoboe Siri kuwa na marinda huna au?????Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
😁😁umefika mbali sana mkuu, wala siyo hivyo kabisaMhhh
Mhhhh kwamba unataka utoboe Siri kuwa na marinda huna au?????
Ukimwambia hii lazma akuache, mwanamke Gani unakubali kufumuliwa mpaka marinda aiseeee,
Mwache mwenyewe atakuja gundua badae baada ya kukuweka dog staili, na hapo mtakuwa tyari mpo kwenye ndoa kwahiyo ujanja atakuwa hana.
Wee kausha hivohivo.
Alinisimulia machache wala siyo mambo mazuri kabisa ila mimi nilishayapotezea as long as amesema hafanyi tena, asante sitageuka nyuma wala kumwambia chochote cha nyuma.Ya kwake ya nyuma unayafahamu mbali na machache aliyokusimulia?
Mambo ya nyuma ya nini kama umesonga mbele we songa kugeukageuka nyuma utageuka nguzo ya chumvi cute
Kuna kitu hapo ni kweli, ila nimebadilika siko huko tena that's why sitamani hata kusimuliaStory yako najua itapita kwenye hii Area of concetration
1) Abortion
2) Single mother
3) High rate of p2 usage
4) Body count High number
Usiogope, hebu tupitishe kwenye hayo mapito yako
Duuh hii kaliKitaalamu unashauriwa Uvundike UKE ili kuondoa sperms domination
Hii itasaidie akili kutulia na kuishi bila hofu.
Bora upige kimya ajue mkishakuwa na watoto watatu na kuendelea Mimi ni mwanaume nawajua wanaume wenzangu hawawezagi jivisha mabomu Kwa kujitoa mhanga kuoa demu mwenye historia chafuHabari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??