Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

Sasa kama unataka watu wakupe tiba na hausemi unaumwa nini nasehemu gani huoni kama utapewa tiba ambayo sio wewe sema naumwa jipu limeniota hapa lina mda Fulani doctor wakucheck wakupe dawa .kila kubwa inakubwa yake kivuruge funguka we live ones
 
Sasa kama unataka watu wakupe tiba na hausemi unaumwa nini nasehemu gani huoni kama utapewa tiba ambayo sio wewe sema naumwa jipu limeniota hapa lina mda Fulani doctor wakucheck wakupe dawa .kila kubwa inakubwa yake kivuruge funguka we live ones
Asante daktari ngoja niandae sasa thread ya kufunguka
 
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Uliishi maisha Gani ili tunapochangia tuchangia kwa mifano
 
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.

Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.

Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.

Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??

Wewe ni Kivuruge tu.
 
Mi naona umwambie tu mimi wifi yako nlimwambia kwanba kwenye foolish age nilikua machungani natembeza nyama kwa ng'ombe kwahio ex wangu wengi ni Moooo

ikamwathiri kidogo akawa hali mishkaki ila saivi amesahau tunakula nundu na ulimi wa Ng'ompeh
 
Mi naona umwambie tu mimi wifi yako nlimwambia kwanba kwenye foolish age nilikua machungani natembeza nyama kwa ng'ombe kwahio ex wangu wengi ni Moooo

ikamwathiri kidogo akawa hali mishkaki ila saivi amesahau tunakula nundu na ulimi wa Ng'ompeh
Duh! Wewe ulikuwa hatari, ulikuwa huna hisia na binadamu😁😁
 
Back
Top Bottom