Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante daktari ngoja niandae sasa thread ya kufungukaSasa kama unataka watu wakupe tiba na hausemi unaumwa nini nasehemu gani huoni kama utapewa tiba ambayo sio wewe sema naumwa jipu limeniota hapa lina mda Fulani doctor wakucheck wakupe dawa .kila kubwa inakubwa yake kivuruge funguka we live ones
Uliishi maisha Gani ili tunapochangia tuchangia kwa mifanoHabari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Hamna nipo kawaida tu jamaniIla Naomi kiviruge sana
Duh! Wewe ulikuwa hatari, ulikuwa huna hisia na binadamu😁😁Mi naona umwambie tu mimi wifi yako nlimwambia kwanba kwenye foolish age nilikua machungani natembeza nyama kwa ng'ombe kwahio ex wangu wengi ni Moooo
ikamwathiri kidogo akawa hali mishkaki ila saivi amesahau tunakula nundu na ulimi wa Ng'ompeh
Huko umefika mbali mkuu 😁😁Nna uhakika huyu mleta uzi akifunguka vidume humu ndani lazima tudinde yani nshaona dalili
Eeh ndio unaonekana upo kawaida tu ila kivurugeHamna nipo kawaida tu jamani
Amen, ngoja niachane na hilo wazoHata yeye Ana history, Acha kujistaki nafsi kama umeshaachana na hayo maisha, mshukuru Mungu kwa rehearsal zake
Ni kweli lakini mpaka mtu anivurugeEeh ndio unaonekana upo kawaida tu ila kivuruge
Umeeleweka kwa kusikitikia ulichofanya huko nyuma.Inasikitisha sana mkuu😢😢
Ngoja nikuvuruge nioneNi kweli lakini mpaka mtu anivuruge
Sawa mkuu nimekuelewa na ushauri wa wengi pia wanasema nikae kimya, nitafanya hivi.Hauna sababu ya kufukua Makaburi Mkuu we piga Kimya unaweza kumueleza ikawa sababu ya kukudharau na kukuacha.
Jua litaniwakia😁😁🙌Kuwa muwazi kwake