Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpenzi au mume?Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
MpenziMpenzi au mume?
Kwa hiyo atahadithia wapenzi wangapi?Mpenzi
Yaani umwambie umayala wako ili iweje. Chuna maisha yaendelee. Tubu kwa Mungu wako inatosha.Kwahiyo ni heri nimwambie au ninyamaze?
Wala haipo hivyo nilikuwa nawaza kumwambia ila mawazo ya wengi yamenisaidia kuwa na uamuzi wa kukaa kimyaKwaio mtoa mada tayar alikua na jibu kichwani kaja kutuuliza sisi ushauri duh 😏🙌🏾 asa ndo nn si ungekaa nalo moyoni nilikua tayar kusikiliza kastory😹😹 kumbe ushajijibu
Ndo anataka kutulia naeKwa hiyo atahadithia wapenzi wangapi?
Ni ngumu hii wengi wamenishauri nikae kimya, naona bora nikae kimya tu naweza kuongea nikawa kwenye hatari zaidiNi muhimu sana mwanamke kujitunza na kama unaona ulifanya blinders huko nyuma ni mara 💯 umueleze mwenzio hata kimafumbo ili awe aware na sio kuja kusikia kwa marafiki au nduguzo.
Utahatarisha mahusiano yako
Wala haipo hivyo nilikuwa nawaza kumwambia ila mawazo ya wengi yamenisaidia kuwa na uamuzi wa kukaa kimya
Asante mkuu hakika ntafanya hivyoYaani umwambie umayala wako ili iweje. Chuna maisha yaendelee. Tubu kwa Mungu wako inatosha.
Pengine na yeye alikuwa anakutania tuKuna binti tulikuwa kwenyw serious relationship katikati ya mapenzi mazito siku moja nikamtania kuwa unaonekana enzi zako watu uliotoka nao Hiece inajaa sio kwa uzuri huo akarukia kwa juu akasema Hiece tu Costa kabisa inajaa
Baada ya hapo nilianza mikakati ya kumuacha,ikawa ndio bye bye.
Asante mkuu, hakika sitamwambia kabisaUsimwambie wanaume tumeumbwa tofauti....itamuumiza utadhani imetokea jana na utarudi huko....potezea tu ataumia na kukosa kukuaminii
GudNdo anataka kutulia nae
Asante mkuu, nitafanya hivyo hakikaUsiishi kwa kujihisi. Ktk ukristo ukishaoka na kuoshwa na damu ya Yesu Kristo unakuwa mpya. Kwa sababu hiyo historia yako ya mambo ya zamani ilishapita na hao watu haupo nao tena, hakuna haja ya kusimulia wewe endelea na maisha mapya!
Taja hiyo background kwanza tuone tunakushaurije, maana kuna background zingine ngumu kumesaHabari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??