Kuna vibwengo wengi sana hawawezi kukuelewa.Magufuli ndio aliharibu kabisa kwa sababu alitengeneza nidhamu ya woga ambayo ilikuwa ni suala la muda tu hali inarudi kama ilivyo,ilipaswa aimarishe mifumo na sio kuamini kwamba watu wanamuogopa,hii ilipelekea hata washauri wake wa karibu kama mawaziri kumuogopoa na kushindwa kumweleza ukweli pale ilipotakiwa
Aliaminisha watu yeye ndio kilakitu na anajua yanayotendeka kila mahali kitu ambacho si kweli na akafanya watendaji wa chini wadharauliwe na wananchi ndio maana kila alikoenda alisimamishwa na mabango juu kwa kesi za kijinga ambazo sio size yake
Ndio maana idara nyingi baada ya kifo chake zimegundulika kufanya madudu mengi lakini yalifichwa kwakuwa waliogopa kuharibu vibarua vyao,ndio maana hata hizo nidhamu unazosema wewe zilikuwa nidhamu bandia tu
Mkuu umepunguza makali ya maneno. Ungelisema HANA HAIBA YA URAIS!Hili la nyodo kwenye ofisi za umma awamu hii linakwenda kuwa baya hata kuliko wakati wa Kikwete. Huyu mama by nature hana haiba wala tabia ya ukali.
Walikujibu niniOfisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee, huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua 😂😂 yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee, may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
Hakika.Wanaangalia na mtu wa kumjibu upuuzi.
Jamani, Mimi naomba kuuliza, aulizae sio mjinga, hivi hizo system huwa ni zipi ambazo inatakiwa ziwepo au zijengwe, hivi toka nchi hii tangu imepata uhuru hutawahiga kuwa na mifumo ambayo inaongoza nchi?Na mimi nakubaliana na wewe. Ila kujenga hizo system lazima uwe na kianzio. Na kianzio ni kuwa na kiongozi asiyependa uzembe. Magufuli kwenye hili eneo alikuwa hana simile lakini kosa lake ni kutokuweka system kama ulivyosema. Na kingine: watanzania tuna utamaduni wa uzembe na uvivu. Hili ni janga kuu na lipo kila mahali. Mtanzania hatimizi wajibu wake bila ya vitisho. Dawa ni waliye juu kuwa mkali, aweke system inayoeleweka ya kupokea na kushughulikia uzembe kama huu.
Haha na hata kama una mwili mdogo unatakiwa uwe na roho kubwa. Unamtamkia maneno mazito hadi anakupa huduma kwa heshima.Hilo nalo neno asee,kama kamwili chako kadogodogo lazma uambulie mipasho
Kweli yule shetani mtu, muuaji na jambazi la kupora mali za watu anaweza kuwa miyoni mwa Watanzania! Labda mwehu kama wewe!Yuko moyoni wa Tanzania wanaojua maana ya kuwa watanzania sio kabila letu kwanza ,sio wavivu wa kutafuta mitaji hadi muibie serikali au waajirini wenu,majigambo ya bure kumbe mnataka kubebwa tuu,mpewe furasa za wizi ,hamtamtoa Magu kamwe kwenye mioyo ya watanzania ili mumreplace na yule mzee wenu gambe la konyagi Baba Freelady,mtapiga kelele kila siku za ukabila na chuki lakini uraisi msahau kwa kweli labda uraisi wa machalari mbege.
Labda shetani atamkumbuka lakini binadamu hawezi kumkumbuka!Hee! Hili nalo vip? Ebu kwenda kalale huko usiekuwa na jinsia...unazani wote tulikuwa wababaishaji kama ww hadi ukatwangwaa ba jpm kunako..tuondolee ujinga hapa..jpm atakumbukwa vzaz na vizaz..
Labda umkumbuke kwa kuwaua watu na kuwapakia katika viroba na kuwatumbukiza mtoni au baharini!Acha wivu.....
tutamkumbuka kwa mema
Kwa mema tuLabda umkumbuke kwa kuwaua watu na kuwapakia katika viroba na kuwatumbukiza mtoni au baharini!
Ni mnyonge au jambazi?ingawa wakati wa mwendazake ulipungua kwakwel, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Jiwe asilani hawezi kupumzika kwa AmaniOfisi za Umma zimeanza kurudi enzi za Kikwete aisee, huduma mbovu majibu mabovu na wanajua huna pa kuwapeleka.
Dawasa Kimara kumbukeni mnafanya huduma jamani mtatuua [emoji23][emoji23] yaani imefanya nimkumbuke marehemu Magufuli aisee, may he continue rest in heaven sasa namwelewa japo too late.
Tulinyooka na mshahara haongezi anaongeza makatoKatiba tena.hahahah.duh..kwan enz zake katiba si ilikua ile ile
Kamuulize Sabaya na Chalamila ndio wanajua endapo ana hasira au hanaHili la nyodo kwenye ofisi za umma awamu hii linakwenda kuwa baya hata kuliko wakati wa Kikwete. Huyu mama by nature hana haiba wala tabia ya ukali.
Unataka ukali wamtu au sheria inasemajeHili la nyodo kwenye ofisi za umma awamu hii linakwenda kuwa baya hata kuliko wakati wa Kikwete. Huyu mama by nature hana haiba wala tabia ya ukali.
Tunawajua Bwashee ndio maana nyinyi ndio mnaongoza kwa chuki na umimi na kubebana bebana na ufisadi na ukabila,endelea kuimba mwamba wenu mzee wa konyagi aliyeshughulikiwa na Sabaya hadi akahama nchi awavushe huku nyinyi mkimpa michango tuu huku ruzuku akiitafuna yeye na ukoo wake,Magufuli yuko ndani ya damu na mioyo ya watanzania milele na milele nyinyi pigeni kelele tu ila musahau kwa nchi mliyoijenga kwa watanzania na ukabila wenu basi uraisi mtausikia kwa wengine tuu.Kweli yule shetani mtu, muuaji na jambazi la kupora mali za watu anaweza kuwa miyoni mwa Watanzania! Labda mwehu kama wewe!
Mimi ningetemea mate chakula nyambafuSiku mfanyakazi wa Umma akinijibu vibaya mjiandae kuja kunitoa mahabusu. Washenzi sana tena sana. Kuna dada mmoja alinijibu huku anakula chakula nilichompa najua hatokaa anisahau kbs maishani mwake.