Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Robert kapamdikiza mgombea ndiye haswa tutamwadhibu kupitia sanduku la kura
 
Umepoteza fedha na muda wako Lissu atashinda na mtajiunga naye kwani shida yenu ni matumbo yenu tu.
 
Hongera sana mkuu na karibu sana. Kesho tutamkomesha huyu beberu Amsterdam na genge lake la wahuni
 
Bwanyeye Robert na kibaraka wake wataadhibiwa na Watanzania mpaka waombe poo
Kesho tunaenda kumwonyesha mhutu kutoka Burundi, jambazi na mauaji, kuwa hatakiwi huku arudi kwao
 
Bwanyeye Robert na kibaraka wake wataadhibiwa na Watanzania mpaka waombe poo
Kesho hakuna uchaguzi bali uhuni wa vibaka wa CCM dhidi ya wananchi, mtajitangazia ushindi ila moyoni utajua kilichowakuta
 
ASANTE SANA KWA UZALENDO WAKO. MIMI PIA NIMESAFIRI ZAIDI YA KILOMITA 1,200 ILI NIPATE NAFASI YA KUPIGA KURA; LENGO LIKIWA KUWAFUNDISHA AMSTERDAM, SMITH, TRIPPI NA VIBARAKA WAO KUWA WATANZANIA TUNAJUA MIPANGO YAO OVU YAKUTAKA KUPORA MALI ZETU. WASHINDWE NA KULEGEA. MWENYEZI MUNGU YUKO NASI KATIKA VITA HII NA SINA SHAKA TUTASHINDA KAMA TULIVYOSHINDA GONJWA LA COVID19.
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Kesho tunaenda kumwonyesha mhutu kutoka Burundi, jambazi na mauaji, kuwa hatakiwi huku arudi kwao
 
Kuuza nchi haikubaliki
Lissu Hana kashfa yeyeto, ni civilized educated na ana exposure na modern economic atatuletea Utawala wa sheria ndio msingi wa haki, Uhuru na maendeleo. Watz watakuwa salama hawatauliwa, pigwa risasi, bambikwa, dhulumiwa mazao yao pesa zao mali zao. Ataleta ajira, nyongeza za mishahara, bima ya afya ni mzalendo halisi ni mtetezi halisi wa wanyonge na sio mnyongaji wa wanyonge kwaniini tusimpe kura zetu?
 

Mungu amewaondolea kibali machoni pa Mbingu na duniani Utawala huu dhalimu thus alimuokoa Lisu mlipompiga risasi,na kwa kupigwa kwake taifa linakombolewa kesho.
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Nani alikuwa kibali cha kutusemea watanzania, hakuna mropokaji kama magu mpaka anamtogozea mama yake mzazi mabwana, laaana tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…