Nimeleft group la WhatsApp la Familia ya mke wangu

Nimeleft group la WhatsApp la Familia ya mke wangu

Mkuu vizuri usipende ukweni wakuzoee kama kuna matatizo kama msiba,mchango wa harusi utasolve tu ila mke wako atakupa ripoti kinachojiri ahsante ni ivyo tu.
 
Mkuu vizuri usipende ukweni wakuzoee kama kuna matatizo kama msiba,mchango wa harusi utasolve tu ila mke wako atakupa ripoti kinachojiri ahsante ni ivyo tu.
Hii ndiyo formula ninayo tumia ukwenu kwangu! Japo mashemeji wengine wanaona Kama unajitenga nao sana,lakini mwisho wa siku kila Mtu na Maisha yake!!!
 
Sahihi na Sio sahihi inategemea jamii / watu husika..., kwahio hapo jibu utakuwa nalo wewe.., ila tukienda kwa kutumia sense je ni nini kinaongelewa huko, kama ni kwa faida ya kizazi chenu basi sio mbaya wewe kuwemo sababu ni part ya familia.., ila kama ni mizimu ya kwao huenda hawakutumia busara kukuunganisha...

All in all weigh pros and cons kama haikusumbui huenda kuwepo kama haupo (uka-mute) itakusaidia kuliko kuondoka live na kuonekana umedharau hence kuleta matatizo..

Ila ukitaka kuishi maisha mazuri fanya wewe unachoona ni sawa na sio wengine wanachokiona au wanachotaka ukifanye..., Kwa kufuata watu utajipa stress ambazo hazina maana bora watu wakuelewe na misimamo yako na watakuzoea na sio wakuendeshe kama gari bovu....,
 
Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.

Je, nitakuwa nimekosea?

kwa taarifa yako hilo uliloungwa ni la tatu lipo la kwanza na lapili haumo!

Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.

Je, nitakuwa nimekosea?
kwa taarifa yako hilo uliloungwa ni la tatu.
la kwanza ndugu wa familia
la pili ni ndugu wa karibu na wake wa kaka zetu
la tatu ndugu wa karibu ,wake za kaka zetu na waume zetu na katika hili ni kwa ajiri ya financial issues(financial support)
hivyo umepigwa!
 
Umefanya maamuzi sahihi kabisa! Hongera sana mkuu, na usikubali kuwekwa humoooo
 
Umefanya maamuzi sahihi kabisa! Hongera sana mkuu, na usikubali kuwekwa humoooo
Lose a Battle to Win a War...., Sometimes unaweza ukakubali vitu vidogo vidogo ila baadae ukikataa mengine isionekane ni mtu wa kukataa; Ingawa Binadamu ukiwapa a Yard they Take a Mile....

Anyway binafsi nafanya kile ambacho ni sahihi kwangu sio wengine wanasema ila ndio tatizo ukishakuwa kwenye maisha ya ndoa au hayo ya familia things become a bit blur..., sio Black or White
 
Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.

Je, nitakuwa nimekosea?
Upo sawa kabisa mkuu... Ndugu wa mkeo sio rafiki zako wala ndugu zako.

Kesho na keshokutwa wakitambulishwa mtu mwingine yoyote wanakusahau ww kama upepo
 
kwa taarifa yako hilo uliloungwa ni la tatu.
la kwanza ndugu wa familia
la pili ni ndugu wa karibu na wake wa kaka zetu
la tatu ndugu wa karibu ,wake za kaka zetu na waume zetu na katika hili ni kwa ajiri ya financial issues(financial support)
hivyo umepigwa!
Sijakuelewa nimepigwa kivipi. Nilishaleft long time mzee
 
Back
Top Bottom