Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,826
- 5,302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmhKwan huyo mwanamke yuko familia ipi? Au n mali ya familia ipo? Ukishaolewa huko uliko olewa ndio kwenu
Unaongea pumbaHata mimi huwa sipendi, issue za ndani za ukoo wa kikeni hazikuhusu sasa umo unafanya nn!? Pili mle kuna mama wakubwa na wadogo wa mke wako, kuna baba wakubwa na wadogo wa mke wako ambao kiujumla ni wakwe zako, je siku simu imejibonyeza mfukoni ikachukua clip ya amber ruuuuutiiiii ikapost kwenye hilo group baada ya kuja kujua utaweka wapi uso wako dhidi ya ukoo mzima wa ukweni.
Nashauri hata wengine kama mko magroup ya kwao mwanamke ni upimbi na ukosefu wa adabu mleft
Bado mvulana weweNaaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Tuoneshe uanaume wako we faller nnBado mvulana wewe
Ahsanta mkuuSio busara kuwa katika group la upande wa wazazi wa mke wako. Umefanya vizuri kujiondoa
Mkuu nyie ndo mmeolewa mnakula na kulala ukweni, lazima uone point yangu ni pumba.Unaongea pumba
Daa umeenda mbali mkuu [emoji1787][emoji1787]Usiishie hapo block na jamii nzima ya hiyo familia, wasitake mazoea[emoji106]
Haya mambo bwana [emoji1787]Mi mke wangu anajitoaga halafu anarudi tena mwenyewe! [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Achana nae huyo. Ukitaka heshima ukweni usijenge mazoea halafu matatizo yao madogo madogo sijui harusi ,rambirambi nini unamaliza tuu.Mkuu nyie ndo mmeolewa mnakula na kulala ukweni, lazima uone point yangu ni pumba.
Keep enjoying matunzo ya ukweni na akili yako kubebwa ukweni
Wewe utakuwa mdhambi,una matendo ya gizani😂Mimi nilileft group la kanisa.
Mimi ningepost picha za connection tuSiku ukijichanganya ukatuma picha ya X sijui utaficha wapi sura yako afu ukute walikua hawakupendi ulifos tu ndoa
Wewe utakuwa mdhambi,una matendo ya gizani😂
Mkeo sio ndugu yakoNaaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona balaaUko sahihi,kuna jamaa yangu mimi hakauki ukweni,kisa kuna vimisosi vidogo vidogo vya hapa na pale,siku moja nikasikia wanasema huyu nae kwa kula,nikajua hapa hakuna kupendwa,sana sana wanakuzoea mwishowe hukawii kusikia baba tunaomba utusaidie katununulie pumba za nguruwe zimeisha...