Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Kuna kundi niliwah unganishwa na mteja ambae nilimpa namba baada ya kufanya nae biashara sekunde ya mwanzo tu ziliingia sms km mia na ktk hizo jumbe na picha za utupu nazo zimo ilibid nitoke tuMi ndio maana nimezuia kwenye settings kuwekwa kwenye magrupu bila ridhaa yangu, hizo settings zipo for a reason, use it.