Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Una manisha hili jukwaa lifutwe kama hutaki tujadiri masuala ya ndoa
 
What? Jamani kuweni serious na mpeni mwenzenu ushauri bora na sio utani, mambo mengine kama haya hayafai kufanyia dhihaka.
Mwenzetu?
Hayo ndio maoni yangu baada ya kusoma bandiko lake wala sio utani, kama unaona nimefanya dhihaka na unajua kipi sahihi anapaswa kufanya msaidie kwa kuyaandika hapa.
 
Mwenzetu?
Hayo ndio maoni yangu baada ya kusoma bandiko lake wala sio utani, kama unaona nimefanya dhihaka na unajua kipi sahihi anapaswa kufanya msaidie kwa kuyaandika hapa.
Ok sawa kama hayo ndio maoni yako ya kimaisha juu ya issue kama hii basi sawa, sina sababu ya kupingana nawe, ila kwa upande wangu nilihisi kuwa hukuwa serious!
 
Usipaniki, usikurupuke, kuwa mpole, tenda kwa akili yaani fikiri vizuri sana kabla ya kutenda lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…