Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Ametembea kwenda naye wapi? Stendi? Sokoni au? Mkeo kutembea na mwanaume kuna ubaya gani?
Basi mtafutieni njia yake kama treni.
Ni hayo tu.
 
Nashauri funga safari wewe na mkeo wako mfike kwa yule jamaa asbh Sana kbla hajaenda kazini ,

Iko HV Kama Kweli ushaidi upo Basi muandae mmkeo bila kujuwa kuwa unaenda kwa mchepuko wake asbh alfu kaganye kikao na huyo jamaa mbele ya mke wake alfu ukisha maliza muachie yule jamaa mkeo abaki nae hapo kwake
 
Mkuu kwanza pole sana kwa hilo

Mi nakushauri kama unamfahamu huyo mdada mtafute mzungumze ili akupe details zote. Baada ya kuupata ukweli kama ni kweli mkeo anatoa mbususu kwa huyo jamaa. Ili kupunguza machungu na wewe mle huyo mdada na baada ya hapo piga biti kali mkeo. Maana ukiacha kumla utakuwa mnyonge daima.

Wakati mwingine kulialia hakusaidii sana yaani ngoma ikija hivi ruka nayo kama ilivyokuja.
Na siyo kumla tuu, apige hadi tigo huyo mke wa jamaa aannze mdogo mdogo kama hajaanza maana siku hizi wake kibao tuu wa watu wanatoa tigo, kisha ahakikishe mke wake anajua hapo machungu kwishney na lazima mke wake ataenda mwambia jamaa yake tena kuwa mke wako anatombwa na mme wangu. Kwenye maisha ya maisha ya bet tunasema BOTH TEAM TO SCORE. Jamaa anakunywa na maji huku akimuangalia mtombaji wa mke wake. Haya maisha ukiwa mnyonge ni usenge sana hakuna kukaa kinyonge hapa
 
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa

Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.

Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,

Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka

Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake

Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.


Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Mkuu pole sana,mke anauma.Sasa mambo yasiwe mengi fanyeni tu cross multiplication ikiwa tu huyo dada afya yake ipo sawa na wewe unamuelewa.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mtaalamu, tuliza akili usifanye maamuzi kwa mihemko chunguza taratibu utakuja jua tu siku moja au pata ushahidi kama ni kweli mkeo anachepuka au hachepuki na uyo jamaa
 
Pole sana mkuu kwa maumivu unayopitia kipindi hiki kigumu. Hongera na endelea kutuliza akili. Usipaniki,acha akili itawale maumivu na hisia ulizokuwa nazo kwa wakati huu. Inawezekana kabisa mkeo sio muaminifu na wewe Kwa sababu upo bize au unakuwa kazini anapata muda kufanya huo uasherati. Na kama hauna tabia ya kujichanganya na watu inakuwa ngumu kupata taarifa za uzinzi wa mkeo. Mtafute kwa siri huyo dada ukae nae sehemu umdadisi kiundani akupe mkanda mzima. Na pengine kama Kuna ushahidi basi akupe Ili ukusaidie kufanya maamuzi yaliyo sahihi.

Though if the case is true.. breaking up is necessary ,vise versa is also is a decision. Considering the options and reasons available. Ni ngumu kuishi na mwanamke mzinzi.

Pole sana mkuu
Hongera Kwa ushauriii huuu usiokuwa na chembe ya unafiki umengalia angle zoeetee
 
1..kuongea huku akilia kwa uchungu haimaanishi kuwa maneno yake ni kweli kwa asilimia 100,..hivyo hupaswi kuyaamini bila ushahidi....

2..uhusiano wako na mkeo ukoje mpaka sasa?..anzia hapo

3.. ikiwa ni kweli, je unazani ni nini chanzo na nini utafanya?.. swali hili lakupasa ujiulize na ujijibu wewe mwenyewe ukiwa na akili timamu bila stress wala presha ili upate jibu sahihi...

4.. kumbuka NGUVU SIO TIBA BALI HEKIMA NI DAWA....
Huyu anatania mdada huyo ndo wakumpa ushahidi afu akamuacha kaja kutuuliza sisi .
JIBU
Endelea na mkeo hata mm namsapoti mshikaji kwa akili hizi utombwewe
 
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa

Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.

Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,

Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka

Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake

Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.


Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Mwambie muwakomoe kwa kutembea pamoja na nyinyi
 
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa

Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.

Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,

Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka

Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake

Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.


Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Jamvi la wageni.
 
Mwanamke akimpenda mwanaume anaanza na hadithi za uwongo, anashimdwa kusema tu "nakupenda ".
 
Back
Top Bottom