Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Dah, sasa comment yako ndio imenilizahayakukuta. yakikuta utajua
Nimeelewa sasa swahiba yangu Lucas Mwashambwa akisema watu wametoa machozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, sasa comment yako ndio imenilizahayakukuta. yakikuta utajua
Tupe na story za waislam wa boko haram, al Qaida, etc.Iko hivi
Kuna video moja ipo katika mtandao ambayo inazungumzia mtu mmoja aliekuwa na madaraka katika nchi 1 iliopo Mbali dunia inayoitwa - JAMAINA
Kiongozi huyo alikuwa nafasi ya uwaziri ya kusimamia watu kazi ambao waliopo kwenye adhabu
Siku 1 vijana walipewa kazi ya kulima shambani kama ni adhabu kwao, ilikuwa ni siku ya Ijumaa.
ilipofika saa 6 mchana wale vijana waliomba kwend msikitini kuabudu.
Yule waziri akawaambia leo hamna kuabudu dhambi zenu nitazibeba mimi , itabidi wale vijana waendelee kulima huku wakiwa na uchungu
Siku ya siku moja yule waziri akafanya kosa kumkosea bosi (Rais) wake akajikuta jela wakakutana na wale vijana waliokuwa aliowazuia kwenda kuabudu lakini waziri hakuwajua
Siku 1 wakati waziri kapewa kazi ngumu na muda ushaisha hajamaliza akawa anasema " adhabu gani hii"
Wale jamaa wakamwambia unakumbuka siku1 ulituzuia tuesende msikitini dhambi zetu utazibeba weye? unakumbuka mtaa wa Janana?
Yule waziri aliweka jembe akalia sana tena sana, alijutia mateso alikuwa anawapa wenziwe na maneno ya dharau kwa wenziwe akawaomba msamaha sana wale vijana kwa aliowambia.
hii story ni true story sio ya kutunga, waziri alikuwa muislam na vijana ni waislam
Nimejifunza kwamba dunia hutakiwi ujione ni yako. Kuna siku ukimiiuza mwenzio na wewe utaumia.
Binaadam ni dynamic, leo chama X kesho utaangua CHAMA Y , Keshokutwa Z au P.
Leo unakazi na cheo, kesho huna kitu unakuwa omba omba unaanza kuyakuta uliyotenda
mafau chini kidogo ya mil 36 halafu analia.Wenzie twapigia mbio sh.1000 na bajajiHii Hadith inanikumbusha polisi aliyeitumikia CCM kwa miaka lukuki, siku ya kustaafu mafao yake hayafikii mishahara miwili ya mbunge. Yaani chini ya m36.
Au yule polisi wa Kenya aliyetaka kuwarushia wale watoto wanaoandamana awaue lkn bomu likamlipukia mikononi na akakatika mikono yake yote mwenyewe.
In short KARMA is real.