Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Duh,
Hapo walichopatia ni jina pekee. Hiyo sanamu ni bandia, labda ni ya ndugu yao!!

CHAWA Tlaatlaah & co, tukiwambia ccm imechoka mno muwe mnaelewa
 
Mwashambwa anakwambia nchi ingetikisika kwa uzinduzi wake
Tena siyo nchi tu, dunia
 
Ile sanamu imezinduliwa,naona videos,yupo Waziri Mahmoud Thabit Kombo pale na Humphrey Polepole,na yule nani sijui yule Mzee nadhani Hashim Mbita,and a hundred or so Cubanos. Na Madaraka Nyerere yupo. In fact, Madaraka nimemuona sasa hivi hapa na sanduku. Nilikuwa sijui kwamba anatoka Cuba.
 
Back
Top Bottom