Nimelima ekari tano za mihogo, itakuwa tayari kwa mavuno mwezi wa Ramadhani

Nimelima ekari tano za mihogo, itakuwa tayari kwa mavuno mwezi wa Ramadhani

Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Kuanzia nov mpaka sasa maeneo ya mkoa wa pwani akukua na mvua ya maana,kama umelima maeneo hayo tegemea kupata mhogo mzuri na utapiga hela ya kutosha
 
Ukanda wa Pwani kutoka Gombero,Pangani Bagamoyo mpaka Lindi na Mtwara mihogo inastawi sana na ladha ya mihogo yake ni mitamu sana.
Gombero hapo nimepaelewa sijafika ila wanasema ni poa sana mim nimefika Kwediboma and vitongoji vya jirani nimeona watu wakilima sana ila vile soko haieleweki sana mpaka mihogo vinakomaa sana shambani
 
Inategemea na mchumaji mkuu, kisamvu cha mihogo kwa usalama zaidi inatakiwa achume mwanaume,
Hata kunde na mazao mengineyo ya mboga inatakiwa achume mwanaume, usiruhusu hata siku moja achume mwanamke au binti maana huwezi juwa yupo kwenye hali gani

Ila kisamvu cha mihogo ni kitamu asikwambie mtu
Are you serious au michezo tuu?
 
Are you serious au michezo tuu?
Mkuu, mimi ni mtoto wa mkulima na nimeshuhudia Bi mkubwa alivyokuwa akigombana na wateja wake aliokua akiwauzia mbaazi mbichi, kunde, choroko, kisamvu n.k.

Alikuwa anawachumia mwenyewe kama asipokuwepo mteja ataniambia nimchumie mimi,

wengine wanajua kabisa wakiwa kwenye siku zao hawaruhusiwi kuingia shambani kuchuma chochote hivyo huwa wanakuja na mtoto siku ambazo wanajua bi mkubwa hayupo, maana mimi huwa nilikuwa sipendi ile harufu inayobaki kwenye mikono

Kiufupi kama una shamba au hata kwako kama umelima mboga mboga siku mwambie mkeo achume akiwa kwenye siku zake, kitakachotokea mimea yote ambayo itakuwa imechumwa haitastawi ili uendelee kuchuma bali itaanza kupata ugonjwa usioeleweka kisha itakauka itakayobaki ni ile ambayo haikuchumwa, sasa hiyo iliyobaki chuma wewe au mkeo akiwa ameshamaliza mzunguko wake mwambie achume kisha leta ushuhuda hapa

Maana mimi mwanzo bi mkubwa alipokuwa akigombana na wateja wake nilikuwa simwelewi ila kuna siku nilimuuliza ndo akanifungukia
 
Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Nimeandaa kikapu
👏🏽👏🏽akili mingimingi
 
  1. Stir together the flour and salt. Make a well in the centre and add 5–6 tablespoons of lukewarm water with the oil. Using your hands, bring the dough together into a ball. Turn out onto a work surface and knead for 5–10 minutes, wrap in cling film and leave to rest for 20 minutes.
  2. Divide the dough into four portions and roll into small balls. Dust a work surface with a little flour. Roll out each ball until around 18cm/7in in diameter, around 2–3mm/⅛in thick.
  3. Dry-fry over a medium heat for 20 seconds, pressing lightly with a spatula. Flip over and cook on the other side for 20 seconds, or until the tortilla is cooked, but remains soft and pliable. Repeat with the remaining three tortillas.
Aiseee,
 
Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Mihogo mbegu ya wapi hiiinachukua miezi mitano hadi kuvunwa?
 
Ekari tano kulima ilinigharimu laki nne, nilipata vijana wanne kwa makubaliano unawapa sehemu ya kulala, wanatembea na kapu lao ndani wana sufuria. Wanaamaka asubuhi wanakwenda kulima mpaka saa tano wamemaliza. Wakirudi wanapika chakula chao wenyewe. Iliwachukua siku tatu kumaliza ekari tano na kila mtu alishika laki yake mkononi.

Tulipanda mwezi November, palizi tumemaliza wiki iliyopita. Palizi ilichukua laki mbili. Kuna wanunuazi wameomba kuchukua shamba kwa milioni tatu. Hili bado sijaafikiana nao. Ninataka kuuza rejareja kwa watakao hitaji ya iftar.

Shamba liko katika barabara kuu kwahiyo changamoto ya usafiri sina. Faida nyingine ni kula kisamvu, baada ya palizi tumeanza kula kisamvu na kitamu sana.
Mi naomba unialike nije "kula Kisamvu"....Pia naweka order ya mihogo, gunia moja kubwa, ikishakuwa tayari.
 
Ramadhani ndio mwisho mwisho, vipi mrejesho wa biashara ya muhogo?
 
Back
Top Bottom