GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Kawaulize wanaopaita hivyo happ MCMS.How uitwe VIP ukiwa mortuary?
NgumuKawaulize wanaopaita hivyo happ MCMS.
Kati ya Wachangiaji wote aliyenielewa na Kuchangia kwa Kutumia Akili ni King Kong III katika post yake #13 na mliobaki mmechangia hasa kwa kutumia kwa 'Mpalange' zenu mnazozimiliki.Shule zifunguliwe urudi shule dogo
Siku zote huwa nasema na naendelea Kusema kuwa kumuelewa vyema GENTAMYCINE ( hasa kwa Threads zake hapa JamiiForums ) yakupasa uwe na Sixth ( 6 ) Sense halafu na Kichwani ( hasa IQ ) yako iwe imekamilika, ila ukiwa ni Mpumbavu Kiasili na wa Kurithishwa kamwe hutonielewa na utabaki kudhani ama nimekurupuka au nimekosea.Hapo Kuna Jambo kauliza la maana Sana Ila usipoelewa utatoka kapa mkuu
Kati ya Wachangiaji wote aliyenielewa na Kuchangia kwa Kutumia Akili ni King Kong III katika post yake #13 na mliobaki mmechangia hasa kwa kutumia kwa 'Mpalange' zenu mnazozimiliki.Pumba tupu..
Ushasema ni VIP Mortuary Sawa hayo maswali ya kitoto .. si uwalize watoto wenzako .
Kwa IQ yako Kubwa uliyonayo ( unayoimiliki ) Mkuu ningeshangaa sana kama usingenielewa juu ya huu Uzi na nilichokilenga hasa.Hapa Kuna Swali la maana lakini pia Kuna kitu unawakumbusha Hawa watu Ila ndio hivyo Tena tumeshindwa kukuelewa Ila nimekupata vizuri mno
Punguza jazba ulete mada zinazoeleweka.Niliyonayo tu ya 'Kukukaza' inanitosha.
Maiti ni maiti . Hata ukimlaza five star hotel bado ni maiti.Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za Gesti ( Loji ) za Kawe Uswahilini.
Na hivi karibuni tu baada ya kutokea kwa Kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa utaratibu ule ule wa Kufunga njia ( barabara ) hiyo kwa Watu ( Raia ) na hata Wanajeshi ( Wanamedani ) kutokupita kumerejea japo safari hii sijawaona 'Makomandoo' ila ninewaona MP's wengi na kuna Wawili najua kuanzia Saa 1 Usiku nitakutana nao Baa Moja hivi maafufu tukigombea 'Kwichi Kwichi' zilizotapakaa hapo.
Naomba kujua Uhusiano wa Maiti za Viongozi wa Kitaifa ( Kiserikali ) Kuhifadhiwa hapo VIP Mortuary ya Lugalo Hospital ( ndani ya kilipo Chuo chao cha Tiba MCMS ) na Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa muda.
Wajuvi wa 'Masuala' tupeni tusiyoyajua.
Kati ya Wachangiaji wote aliyenielewa na Kuchangia kwa Kutumia Akili ni King Kong III katika post yake #13 na mliobaki mmechangia hasa kwa kutumia kwa 'Mpalange' zenu mnazozimiliki.Punguza jazba ulete mada zinazoeleweka.
Na kwanini huwa zinakuwa / zinalindwa 'under tight and heavy Military security' zikiwa hapo Lugalo Hospital MCMS VIP Mortuary huku hadi barabara inayotumiwa na Raia pamoja na Wanajeshi wenyewe Kufungwa kwa muda?Maiti ni maiti . Hata ukimlaza five star hotel bado ni maiti.
Kumbuka tunajaribu kuuiga u communist japo haiwezi kututoa mrisi .Na kwanini huwa zinakuwa / zinalindwa 'under tight and heavy Military security' zikiwa hapo Lugalo Hospital MCMS VIP Mortuary huku hadi barabara inayotumiwa na Raia pamoja na Wanajeshi wenyewe Kufungwa kwa muda?
Ukiondoa King Kong III, Ugumu wangu na Odhiambo cairo Wewe pia ni miongoni mwa Watu ( Members ) wachache hapa JamiiForums wenye IQ kubwa na mliouelewa 'Critically' kabisa huu Uzi wangu. Mbarikiwe.Watoto wachanga wanaibiwa mahospitalini halafu nguvu kubwa kubwa kulinda maiti.
Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa mud
Huenda wanahisi kuna wenye hasira kama Mkulima Mwamwindi ,kuibuka na kuchukua Maiti ya VIP, say Marehemu Mzee Meko na kuiburuza Mitaani.Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za Gesti ( Loji ) za Kawe Uswahilini.
Na hivi karibuni tu baada ya kutokea kwa Kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa utaratibu ule ule wa Kufunga njia ( barabara ) hiyo kwa Watu ( Raia ) na hata Wanajeshi ( Wanamedani ) kutokupita kumerejea japo safari hii sijawaona 'Makomandoo' ila ninewaona MP's wengi na kuna Wawili najua kuanzia Saa 1 Usiku nitakutana nao Baa Moja hivi maafufu tukigombea 'Kwichi Kwichi' zilizotapakaa hapo.
Naomba kujua Uhusiano wa Maiti za Viongozi wa Kitaifa ( Kiserikali ) Kuhifadhiwa hapo VIP Mortuary ya Lugalo Hospital ( ndani ya kilipo Chuo chao cha Tiba MCMS ) na Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa muda.
Wajuvi wa 'Masuala' tupeni tusiyoyajua.
Taratibu tu sasa tunaanza Kuelewana.Kama mwanaJF mwengine hapo juu Ugumu Wangu alivyosema, naona kama unatumia codes kutuhabarisha kuna jambo jipya limetokea.
Kuna tatizo kubwa kwenye taasisi zetu, kutumia bunduki kuua mbu, anyways kufa kufaana tunapiga hela kimtindoTaratibu tu sasa tunaanza Kuelewana.
Yani wanafikiri wakiruhusu watu kupitapita basi kuna mtu anaweza ingia humo vip mortuary na "kuidhuru au kuiua tena maiti"Huko mbeleni tuanze kuajiri polisi,wanajeshi kuanzia form 6 na kuendelea ,tukiwa na wasomi wengi kwenye taasisi hizo ,yatapunguza adhabu za kijinga wanazopewa raia pindi wakikatiza maeneo ya jeshi na kufanya mambo ambayo hayana mantiki kama hilo la kufunga njia pindi mtu mzito akifariki serikalini....Utafungaje njia? kwani hapo hospital hakuna ulinzi?
Kwakweli Leo hii ni pumba tupu, maswali mengine Yana majibu Ila naona watu wanataka kuwa selebriti wa JF sasa.