Nimeliona hili mara Mbili karibu na Jengo la VIP Mortuary ya Lugalo Hospital hasa wakifa Viongozi je, lina maana au 'tunakompliketi' tu mambo?

Nimeliona hili mara Mbili karibu na Jengo la VIP Mortuary ya Lugalo Hospital hasa wakifa Viongozi je, lina maana au 'tunakompliketi' tu mambo?

Pumba tupu..
Ushasema ni VIP Mortuary Sawa hayo maswali ya kitoto .. si uwalize watoto wenzako .
 
Hapo Kuna Jambo kauliza la maana Sana Ila usipoelewa utatoka kapa mkuu
Siku zote huwa nasema na naendelea Kusema kuwa kumuelewa vyema GENTAMYCINE ( hasa kwa Threads zake hapa JamiiForums ) yakupasa uwe na Sixth ( 6 ) Sense halafu na Kichwani ( hasa IQ ) yako iwe imekamilika, ila ukiwa ni Mpumbavu Kiasili na wa Kurithishwa kamwe hutonielewa na utabaki kudhani ama nimekurupuka au nimekosea.

Nikupongeze tu kwa kuwa na IQ Kubwa.
 
Pumba tupu..
Ushasema ni VIP Mortuary Sawa hayo maswali ya kitoto .. si uwalize watoto wenzako .
Kati ya Wachangiaji wote aliyenielewa na Kuchangia kwa Kutumia Akili ni King Kong III katika post yake #13 na mliobaki mmechangia hasa kwa kutumia kwa 'Mpalange' zenu mnazozimiliki.
 
Hapa Kuna Swali la maana lakini pia Kuna kitu unawakumbusha Hawa watu Ila ndio hivyo Tena tumeshindwa kukuelewa Ila nimekupata vizuri mno
Kwa IQ yako Kubwa uliyonayo ( unayoimiliki ) Mkuu ningeshangaa sana kama usingenielewa juu ya huu Uzi na nilichokilenga hasa.

Nina bahati mbaya mno ya Kueleweka vibaya na Wapumbavu ( Fools ) wengi ila Kueleweka vizuri na Werevu ( Brainiacs ) wachache.
 
Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za Gesti ( Loji ) za Kawe Uswahilini.

Na hivi karibuni tu baada ya kutokea kwa Kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa utaratibu ule ule wa Kufunga njia ( barabara ) hiyo kwa Watu ( Raia ) na hata Wanajeshi ( Wanamedani ) kutokupita kumerejea japo safari hii sijawaona 'Makomandoo' ila ninewaona MP's wengi na kuna Wawili najua kuanzia Saa 1 Usiku nitakutana nao Baa Moja hivi maafufu tukigombea 'Kwichi Kwichi' zilizotapakaa hapo.

Naomba kujua Uhusiano wa Maiti za Viongozi wa Kitaifa ( Kiserikali ) Kuhifadhiwa hapo VIP Mortuary ya Lugalo Hospital ( ndani ya kilipo Chuo chao cha Tiba MCMS ) na Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa muda.

Wajuvi wa 'Masuala' tupeni tusiyoyajua.
Maiti ni maiti . Hata ukimlaza five star hotel bado ni maiti.
 
Maiti ni maiti . Hata ukimlaza five star hotel bado ni maiti.
Na kwanini huwa zinakuwa / zinalindwa 'under tight and heavy Military security' zikiwa hapo Lugalo Hospital MCMS VIP Mortuary huku hadi barabara inayotumiwa na Raia pamoja na Wanajeshi wenyewe Kufungwa kwa muda?
 
Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za Gesti ( Loji ) za Kawe Uswahilini.

Na hivi karibuni tu baada ya kutokea kwa Kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa utaratibu ule ule wa Kufunga njia ( barabara ) hiyo kwa Watu ( Raia ) na hata Wanajeshi ( Wanamedani ) kutokupita kumerejea japo safari hii sijawaona 'Makomandoo' ila ninewaona MP's wengi na kuna Wawili najua kuanzia Saa 1 Usiku nitakutana nao Baa Moja hivi maafufu tukigombea 'Kwichi Kwichi' zilizotapakaa hapo.

Naomba kujua Uhusiano wa Maiti za Viongozi wa Kitaifa ( Kiserikali ) Kuhifadhiwa hapo VIP Mortuary ya Lugalo Hospital ( ndani ya kilipo Chuo chao cha Tiba MCMS ) na Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa muda.

Wajuvi wa 'Masuala' tupeni tusiyoyajua.
Huenda wanahisi kuna wenye hasira kama Mkulima Mwamwindi ,kuibuka na kuchukua Maiti ya VIP, say Marehemu Mzee Meko na kuiburuza Mitaani.
 
Huko mbeleni tuanze kuajiri polisi,wanajeshi kuanzia form 6 na kuendelea ,tukiwa na wasomi wengi kwenye taasisi hizo ,yatapunguza adhabu za kijinga wanazopewa raia pindi wakikatiza maeneo ya jeshi na kufanya mambo ambayo hayana mantiki kama hilo la kufunga njia pindi mtu mzito akifariki serikalini....Utafungaje njia? kwani hapo hospital hakuna ulinzi?
Yani wanafikiri wakiruhusu watu kupitapita basi kuna mtu anaweza ingia humo vip mortuary na "kuidhuru au kuiua tena maiti"
iliyohifadhiwa humo....
 
Back
Top Bottom