mimi sjakuelewaMtasubiri sana kwani kuna watu nguzo zimesimikwa August na Septemba lakini nyaya hamna hadi dakika hii.
Wenye kuelewa mchezo na staili ya kucheza na hawa jamaa wanafungiwa nyaya na kuwasha umeme na hawa ni wale walio karibu kabisa na nguzo za mwisho zenye umeme tayari.
Ndugu mpendwa Mteja wetuMtasubiri sana kwani kuna watu nguzo zimesimikwa August na Septemba lakini nyaya hamna hadi dakika hii.
Wenye kuelewa mchezo na staili ya kucheza na hawa jamaa wanafungiwa nyaya na kuwasha umeme na hawa ni wale walio karibu kabisa na nguzo za mwisho zenye umeme tayari.
Mtafute huyo surveyor muongee kiutu uzima anaweza akakupa wazo; inawezekana changamoto kubwa walizonazo ni vifaa kuwa vichache, labda nguzo ziko kumi na waombaji wako mia, hapo utafanyaje ili mambo yako yasikwame?Mimi niko tayar kwa chochote shida sasa mkandarasi sjui tuseme hana mtu au vipi yan nataman kumpata mtu mhusika tumalizane
Nilikuwa na mjibu mdau mmoja hapo juu ambaye anasema nguzo zimesikwa tangu October ila nyaya hamna mpaka sasa tatizo ambalo ni sawa kabisa na sehemu ninayoishi ambapo nguzo zimefungwa tangu August ila nyaya hazijawekwa hata leo ndio maana nikajibu kuwa atasubiri sana.mimi sjakuelewa
Umeambiwa unatakiwa kulipa kiasi gani?Habari za muda huu,
Jamani ninaomba kuuliza, tulifanya process za kuomba umeme tangu mwezi wa saba mwaka huu, na tuliwatumia wakandarasi wa hapo hapo tanesco kutujazia na kutuchorea na kurudisha form tanesco Tanga Mjini.
Sasa siku hiyo hiyo alikuja mtu wa kufanya survey na akapima pima pale na kikubwa kilichotakiwa ni nguzo, tukakaa tukisubiri kuitwa kwenda kulipia nguzo iwekwe umeme uingie, tulisubiri mno kwenye mwez wa tisa nikapigiwa sim kama nilishapimiwa nikajieleza tayar wakanambia niende eneo husika niwaelekeze wao wanakuja, nikafika tukaelekezana wakaja wakapima tena baada ya hapo hicho kimya chake skukielewa ikabidi mimi nifunge safar mpaka hapo ofisini kwao.
Nikaomba kuonana na mtu wa kulitatua tatizo langu nikaonana na mama mmoja hivi hata usoni hakuangalii na jibu akataka tu namba na jina la form nikampa akanijibu ukiona tanesco wamekita nguzo kwenye hilo eneo ndio uje.
Nimesubiri kwa muda mrefu mnooo naomba kufahamishwa tatizo ni nini najua wahusika wapo humu nikimpigia yule mkandarasi majibu ni kama hayo sasa sielewi tangu mwezi wa saba had sasa naona zii.
Unasisitiza rushwa...umekomaa kweli, mimi sitoi kitu na wataleta tuMtasubiri sana kwani kuna watu nguzo zimesimikwa August na Septemba lakini nyaya hamna hadi dakika hii.
Wenye kuelewa mchezo na staili ya kucheza na hawa jamaa wanafungiwa nyaya na kuwasha umeme na hawa ni wale walio karibu kabisa na nguzo za mwisho zenye umeme tayari.
nimeshamwambia pia lakini ananambia wala haina hajaMtafute huyo surveyor muongee kiutu uzima anaweza akakupa wazo; inawezekana changamoto kubwa walizonazo ni vifaa kuwa vichache, labda nguzo ziko kumi na waombaji wako mia, hapo utafanyaje ili mambo yako yasikwame?
Utakaa gizani tu hakuna namna ahaaaanimechagua kukupuuzia
sjapigiwa hata kupewa hiyo control namba yan tulivoishia na hao wapimaji nikaenda ofisin kwao nilichojibiwa ni had nione nguzo imewekwa ndio nirudi sasa sielewi ningeambiwa kiasi cha kulipia hata nisingekuja humu shida ni hiki kimyaUmeambiwa unatakiwa kulipa kiasi gani?
Mimi tangu 19.07. mpaka Sasa bado huduma wanasema hawana vifaaHabari za muda huu,
Jamani ninaomba kuuliza, tulifanya process za kuomba umeme tangu mwezi wa saba mwaka huu, na tuliwatumia wakandarasi wa hapo hapo tanesco kutujazia na kutuchorea na kurudisha form tanesco Tanga Mjini.
Sasa siku hiyo hiyo alikuja mtu wa kufanya survey na akapima pima pale na kikubwa kilichotakiwa ni nguzo, tukakaa tukisubiri kuitwa kwenda kulipia nguzo iwekwe umeme uingie, tulisubiri mno kwenye mwez wa tisa nikapigiwa sim kama nilishapimiwa nikajieleza tayar wakanambia niende eneo husika niwaelekeze wao wanakuja, nikafika tukaelekezana wakaja wakapima tena baada ya hapo hicho kimya chake skukielewa ikabidi mimi nifunge safar mpaka hapo ofisini kwao.
Nikaomba kuonana na mtu wa kulitatua tatizo langu nikaonana na mama mmoja hivi hata usoni hakuangalii na jibu akataka tu namba na jina la form nikampa akanijibu ukiona tanesco wamekita nguzo kwenye hilo eneo ndio uje.
Nimesubiri kwa muda mrefu mnooo naomba kufahamishwa tatizo ni nini najua wahusika wapo humu nikimpigia yule mkandarasi majibu ni kama hayo sasa sielewi tangu mwezi wa saba had sasa naona zii.
Ila we bwana unajitahidi sana uko very active kurespond big upTunashukuru na taarifa zako zilishafanyiwa kazi
Tanzania bila rushwa hakuna hakioooh we need a right leader not corruption sio lakini haya mambo bila kitu kidogo hata hayaendi na sidhani kama nchi hii rushwa itakuja kufa
Hata weweπππ wewe utafika umechoka sana
Ndiyo nguzo mbilina unataka nguzo??
anhaa haya poaNilikuwa na mjibu mdau mmoja hapo juu ambaye anasema nguzo zimesikwa tangu October ila nyaya hamna mpaka sasa tatizo ambalo ni sawa kabisa na sehemu ninayoishi ambapo nguzo zimefungwa tangu August ila nyaya hazijawekwa hata leo ndio maana nikajibu kuwa atasubiri sana.
Kama tu tanesco wanakuzira huko kwa baba je..?kwa nn