Nimelitathimini jengo la Makao Makuu ya CHADEMA pale Ufipa na nimeridhika chama hicho hakijali Maendeleo ya Vitu

Nimelitathimini jengo la Makao Makuu ya CHADEMA pale Ufipa na nimeridhika chama hicho hakijali Maendeleo ya Vitu

Mara baada ya kurudishwa tena mfumo wa vyama vingi hapa nchini, ilichokifanya ni kuendesha "looting" ya mali zilizotokana na nguvu za wananchi kote nchini. Pasipo kuwa na aibu walijitwalia nyumba na majengo, viwanja vilivyopimwa na hata vya wazi, viwanja vya michezo, miradi ya ufugaji huku wakitambua vyema ni kinyume kabisa na kanuni na taratibu, na ukweli ni ya kuwa vilipaswa kukabidhiwa ktk halmashauri za miji husika.

Ebu makada waje na uthibitisho, kuwa ni ruzuku ipi ya CCM imewahi kuhusika kujipatia mali hizo? Kihistoria chama hiki kikiwa ktk hatua za "nascent stage" ya kujijenga kwake kiliweza kununua mali zipi zaidi ya kubebwa na dola na hata kupora tu mali za umma. Malezi ya awali ya mtoto huathiri kwa kiasi kikubwa tabia za maisha ya ukubwani kwake, ndivyo hasa CCM inavyoathirika kwa nyakati za sasa.

Wazazi wake TANU na ASP pasipo kujua yupi alikuwa ndiye baba ama mama yake, toto hili CCM lilizaliwa familia ya wakora na kudekezwa sana kupitia dola. Kwa hiyo hata walipotokea wadogo zake, bado limeendekeza na tabia za kudeka na hata kujimilikisha kila kitu ambacho wazazi wake waliuibia umma wa Watanzania.
 
Kwanza hii kauli sijui waliokota wapi.

Eti maendeleo ya watu badala ya vitu.sijui kama ipo nchi duniani iliwapa maendeleo wananchi badala ya mwananchi binafsi kujiendeleza baada ya serikali kurahusisha njia zake.
 
Siasa ni fikra safi zilizo huru kuwawezesha wananchi kufanya miradi mikubwa.

Ujenzi utafanywa na wananchi huru waliopewa uhuru wa kushiriki katika shughuli iwe kuendesha mashirika ya ndege binafsi, usafirishaji wa abiria kwa mabasi au mizigo kwa malori, sekta binafsi kujenga reli kwa ubia, viwanda na migodi kuendeshwa na sekta binafsi ..

19 Dec 2018
Serikali kuhakikisha usafiri wa anga unahodhiwa na ATCL kwa kubinya sekta binafsi
Waziri Isaack Kamwelwe aliibua sakata la Fastjet mbele ya Rais Magufuli “…kuna mfanyabiashara mmoja anayejulikana kwa jina la Fastjet...juzi alitusumbua…alitubip…tumempigia…

 
Tatizo kila mwenye jengo anaogopa kumkodishia chadema jengo kwa ajili ya ofisi kwa kuogopa fitna za serikali

Nina mfano halisi, Chadema walitaka kukodisha jengo zima la mtu fulani pale maeneo ya kijitonyama, mwenye jengo alikua na shida kweli ya pesa lakini alipoambiwa mpangaji ni chadema akasema serikali haitoniacha ngoja jibaki na shida zangu
Nimekuelewa vizuri hapa, lakini kwa mtazamo wangu Chadema wanastahili kuwa na jengo lao binafsi, sio kukodisha, hizo kodi wanazolipa ni vyema wawekeze kwenye majengo yao.
 
Watanyimwa kibali au hata wakishajenga wataambiwa ni ipen space or either baada ya kujenfa wakapitisha greda kwa madai kuwa wanapanua barabara
Usiogope, sheria zipo.

Wafanye utafiti kabla ya kununua eneo, waende wizara ya ardhi wakaangalie mmiliki halali wa eneo ni nani, wawe na mashahidi (majirani wa eneo husika) wakijiridhisha wanunue, serikali ikikurupuka kufanya unayofikiria then jamii ndio itajua mchawi ni serikali.
 
Mara kadhaa viongozi wa Chadema wamesikika wakinadi maendeleo ya watu badala ya vitu. Na wakati mwingine wameibeza CCM kwa kujikita kwenye maendeleo ya vitu ( miundombinu)...
You should not be that senseless, CCM has no building of its own. It dwells in the government buildings which she confiscated during the single-party era!
 
Mara kadhaa viongozi wa Chadema wamesikika wakinadi maendeleo ya watu badala ya vitu. Na wakati mwingine wameibeza CCM kwa kujikita kwenye maendeleo ya vitu ( miundombinu)...
SGR imekosewa usanifu wake nyie subirini tu mtajuwa manake sasa hivi mambo yamefichwa kama ilivyofichwa corona.
 
Makao makuu ya Chadema yapo mtaa wa UFIPA, wilaya ya Kinondoni mkoa DSM. Ukiwa na Kawawa Road, ukivuka Chuo kikuu huria kutokea Moroko unachepuka kushoto unasonga mbele katika barabara mbovu hadi unafika nyumba ya makazi ilyopo uchochoroni mtaa wa Ufipa. Nyumba hii ni ya kawaida iliyojengwa zamani kwa maana hiyo ni nyumba ya kizamani ikimilikiwa na familia ya familia ya mmoja wa waasisi wa Chadema Bob Makani. CHADEMA wamepanga hapo.

Kwa ujumla hata ofisi nyingi za CCM Wilaya kama sio zote ni nzuri na bora kushinda makao makuu ya Chadema.

Sabodo aliwapa Cinemax pale kituo cha ITV wafanye makao makuu na kuwapatia pesa za kuchimba visima lakini kuna ubadhilifu mkubwa wa pesa hizo ulifanyika na Sabodo akaghairi kila kitu.

Mpaka sasa CHADEMA inajinasibu kushika dola, inaomba waTanzania waiamini na kuipa dhamana ya kujenga nchi. Kwa miaka zaidi ya 20 chadema kikiwa chama cha kawaida hadi kuwa chama kikuu cha upinzani kikipokea ruzuku kubwa kimeshindwa kujenga ofisi ya makao makuu. Je, inawezekana kikaaminiwa na waTanzania kujenga nchi?

Hakika kwa namna CHADEMA inavyoongozwa, hilo pekee la kushindwa kuwa na ofisi ya makao makuu jkatika jengo wanalomiliki ni ishara tosha hakiwezi kujisimamia na viongozi wake kukosa maono hivyo kukosa sifa za kuongoza nchi. Kinaweza vipi kujenga uchumi wa nchi ikiwa wao kama chama wameshindwa kupanga, kuratibu, na kusimamia rasilimali zao ili kujenga japo jengo la ofisi kuu angalau nyumba ya chini kama walipopanga kwa zaidi ya miaka 20. Nyumba hiyo isingegharimu zaidi ya million 200. Lakini kwa sababu ya tamaa za viongozi na kuigeuza chadema kitega uchumi imeshindikana kuwa na jengo la ofisi kuu.

Sasa hawa watu wataweza kweli kujenga uchumi wa nchi? Watauza kila kitu na kukausha hazina yetu hakuna watakachofanya kwani hawana maono watageuza nchi Saccos yao
 
Ni ipi office ambayo CCM ilijenga? Iliza upewe historia. Office na malo zote za CCM no malo za serikali tangu tukiwa nchi ya chama kimoja. Vyama vingi vilipoanza CCM wakajibinafsishia kila kitu.

Kwahiyo kama huna cha kuandika nyamaza usijiaibishe.
 
Mkuu hii Nyimbo ilisha chuja kitambo sana ,we are smart people bana tafuta / tungeni nyingine na bado mpaka mpoteane.
 
Ni ipi office ambayo CCM ilijenga? Iliza upewe historia. Office na malo zote za CCM no malo za serikali tangu tukiwa nchi ya chama kimoja. Vyama vingi vilipoanza CCM wakajibinafsishia kila kitu.
Kwahiyo kama huna cha kuandika nyamaza usijiaibishe.
Kaaga na ushamba wako wanajenga kila siku
 
Makao makuu ya Chadema yapo mtaa wa UFIPA, wilaya ya Kinondoni mkoa DSM. Ukiwa na Kawawa Road, ukivuka Chuo kikuu huria kutokea Moroko unachepuka kushoto unasonga mbele katika barabara mbovu hadi unafika nyumba ya makazi ilyopo uchochoroni mtaa wa Ufipa. Nyumba hii ni ya kawaida iliyojengwa zamani kwa maana hiyo ni nyumba ya kizamani ikimilikiwa na familia ya familia ya mmoja wa waasisi wa Chadema Bob Makani. CHADEMA wamepanga hapo.

Kwa ujumla hata ofisi nyingi za CCM Wilaya kama sio zote ni nzuri na bora kushinda makao makuu ya Chadema.

Sabodo aliwapa Cinemax pale kituo cha ITV wafanye makao makuu na kuwapatia pesa za kuchimba visima lakini kuna ubadhilifu mkubwa wa pesa hizo ulifanyika na Sabodo akaghairi kila kitu.

Mpaka sasa CHADEMA inajinasibu kushika dola, inaomba waTanzania waiamini na kuipa dhamana ya kujenga nchi. Kwa miaka zaidi ya 20 chadema kikiwa chama cha kawaida hadi kuwa chama kikuu cha upinzani kikipokea ruzuku kubwa kimeshindwa kujenga ofisi ya makao makuu. Je, inawezekana kikaaminiwa na waTanzania kujenga nchi?

Hakika kwa namna CHADEMA inavyoongozwa, hilo pekee la kushindwa kuwa na ofisi ya makao makuu jkatika jengo wanalomiliki ni ishara tosha hakiwezi kujisimamia na viongozi wake kukosa maono hivyo kukosa sifa za kuongoza nchi. Kinaweza vipi kujenga uchumi wa nchi ikiwa wao kama chama wameshindwa kupanga, kuratibu, na kusimamia rasilimali zao ili kujenga japo jengo la ofisi kuu angalau nyumba ya chini kama walipopanga kwa zaidi ya miaka 20. Nyumba hiyo isingegharimu zaidi ya million 200. Lakini kwa sababu ya tamaa za viongozi na kuigeuza chadema kitega uchumi imeshindikana kuwa na jengo la ofisi kuu.

Sasa hawa watu wataweza kweli kujenga uchumi wa nchi? Watauza kila kitu na kukausha hazina yetu hakuna watakachofanya kwani hawana maono watageuza nchi Saccos yao
ulivyojadili na kuelezea mitaa we lazima ni dalali
 
Kwahiyo unasema tusiwapigie kura CDM kwasababu hawajajenga ofisi ya kisasa kama CCM?
Vipi ambao wana nchi kwa zaidi ya miaka 60 na tumewapa wakusanye kodi lakini mpaka leo wanafunzi wanakaa chini?Huduma za maji bado mbovu?
Siwezi kumpa kura mtu anayenitisha!
 
Hoja nzuri ila sasa wafuasi kindaki ndaki watakudhihaki. Sabodo aliwabeba sana na hawakubebeka. Nyumba binafsi wanazo nzurisana ila ofisi za chama wamesahau.

CDM wana uwezo mkubwa wa kujenga ofisi nzuri na ukumbi wa maana kwa ajili ya vikao vyao vya ndani.

Wana ruzuku bado makato ya wabunge wote.
 
Makao makuu ya Chadema yapo mtaa wa UFIPA, wilaya ya Kinondoni mkoa DSM. Ukiwa na Kawawa Road, ukivuka Chuo kikuu huria kutokea Moroko unachepuka kushoto unasonga mbele katika barabara mbovu hadi unafika nyumba ya makazi ilyopo uchochoroni mtaa wa Ufipa. Nyumba hii ni ya kawaida iliyojengwa zamani kwa maana hiyo ni nyumba ya kizamani ikimilikiwa na familia ya familia ya mmoja wa waasisi wa Chadema Bob Makani. CHADEMA wamepanga hapo.

Kwa ujumla hata ofisi nyingi za CCM Wilaya kama sio zote ni nzuri na bora kushinda makao makuu ya Chadema.

Sabodo aliwapa Cinemax pale kituo cha ITV wafanye makao makuu na kuwapatia pesa za kuchimba visima lakini kuna ubadhilifu mkubwa wa pesa hizo ulifanyika na Sabodo akaghairi kila kitu.

Mpaka sasa CHADEMA inajinasibu kushika dola, inaomba waTanzania waiamini na kuipa dhamana ya kujenga nchi. Kwa miaka zaidi ya 20 chadema kikiwa chama cha kawaida hadi kuwa chama kikuu cha upinzani kikipokea ruzuku kubwa kimeshindwa kujenga ofisi ya makao makuu. Je, inawezekana kikaaminiwa na waTanzania kujenga nchi?

Hakika kwa namna CHADEMA inavyoongozwa, hilo pekee la kushindwa kuwa na ofisi ya makao makuu jkatika jengo wanalomiliki ni ishara tosha hakiwezi kujisimamia na viongozi wake kukosa maono hivyo kukosa sifa za kuongoza nchi. Kinaweza vipi kujenga uchumi wa nchi ikiwa wao kama chama wameshindwa kupanga, kuratibu, na kusimamia rasilimali zao ili kujenga japo jengo la ofisi kuu angalau nyumba ya chini kama walipopanga kwa zaidi ya miaka 20. Nyumba hiyo isingegharimu zaidi ya million 200. Lakini kwa sababu ya tamaa za viongozi na kuigeuza chadema kitega uchumi imeshindikana kuwa na jengo la ofisi kuu.

Sasa hawa watu wataweza kweli kujenga uchumi wa nchi? Watauza kila kitu na kukausha hazina yetu hakuna watakachofanya kwani hawana maono watageuza nchi Saccos yao
Umenikumbusha ilivyo bomolewa Club Bilicanas je mngelishindwa kubomoa ufipa, haa haa!. 'Maendeleo hayana vyama'
 
Back
Top Bottom