Nimelitathimini jengo la Makao Makuu ya CHADEMA pale Ufipa na nimeridhika chama hicho hakijali Maendeleo ya Vitu

Nimelitathimini jengo la Makao Makuu ya CHADEMA pale Ufipa na nimeridhika chama hicho hakijali Maendeleo ya Vitu

SGR imekosewa usanifu wake nyie subirini tu mtajuwa manake sasa hivi mambo yamefichwa kama ilivyofichwa corona.
We Corona ingefichwa huyo mbeligiji wenu angekuwa anazurura nchi nzima bila barakoa.
 
Kujenga madarasa na kuboresha miundombinu kuwasahau walimu

Kujenga magereza na kuboresha miundombinu kuwasahau Askali jela

Kujenga zahanati na hospitali na kuboresha miundombinu Kuwasahau Manesi na Madaktari

Hivi vitu vinaenda pamoja my dear!!
 
Juzikati nilitembelea mji wa mzee Mwinjuma katika ile nyumba ilipozaliwa Tanu ili kujikumbusha historia....
So what?

Mmetaka bunge la kijani mmelipata.

Mmentaka Maalim Seif wa kijani mmempata.

Mmemtaka Zitto wa kijani, mmempata.

Mmemtaka Halima Mdee na wenzanke wa kijani mmewapata.

Mmetaka nchi ya kijani mmeipata.

Tafadhali sana, acha kuisakama CHADEMA yetu.

Wenye mapenzi mema tumekapenda kakibanda hakohako.

Unaongelea eti miradi ya kihujumu UCHUMI, Bwawa la Rufiji, tumepoteza trillion ngapi kwenye miradi ya gesi, kuanzia utafiti, upatikanaji, kujenga pipeline, Hadi kiwanda Kinyerezi.

Hivi nyie masisiyemu hamuoni mnapoteza rasilimali fedha za taifa hili kwa unfinished business zenu?

Mabilioni yamepotea kwenye gesi, kwenye bunge la katiba, kwenye mandege yasiyo na tija nk.

Ndugu yangu johnthebaptist, badala ya kuisakama CHADEMA msakame MAGUFULI na mapepo yake, katuletea limeli, toka Dar mpaka Bagamoyo limetumia siku nzima.

Na Ni yeye aliyekwenda kuliangalia, kulikagua na kulisimamia tangu linajengwa.

Tunaomba utuache sisi na CHADEMA yetu, nyie endeleeni na kijani chenu, na mashuka yenu mjitahidi yawe ya kijani Kama ya theatre.

Tuwache tupumuwe
 
So what?
Mmetaka bunge la kijani mmelipata.
Mmentaka Maalim Seif wa kijani mmempata.
Mmemtaka Zitto wa kijani, mmempata.
Mmemtaka Halima Mdee na wenzanke wa kijani mmewapata.
Mmetaka nchi ya kijani mmeipata.
Tafadhali sana, acha kuisakama CHADEMA yetu.
Wenye mapenzi mema tumekapenda kakibanda hakohako.
Unaongelea eti miradi ya kihujumu UCHUMI, Bwawa la Rufiji, tumepoteza trillion ngapi kwenye miradi ya gesi, kuanzia utafiti, upatikanaji, kujenga pipeline, Hadi kiwanda Kinyerezi.
Hivi nyie masisiyemu hamuoni mnapoteza rasilimali fedha za taifa hili kwa unfinished business zenu?
Mabilioni yamepotea kwenye gesi, kwenye bunge la katiba, kwenye mandege yasiyo na tija nk.
Ndugu yangu johnthebaptist, badala ya kuisakama CHADEMA msakame MAGUFULI na mapepo yake, katuletea limeli, toka Dar mpaka Bagamoyo limetumia siku nzima.
Na Ni yeye aliyekwenda kuliangalia, kulikagua na kulisimamia tangu linajengwa.
Tunaomba utuache sisi na CHADEMA yetu, nyie endeleeni na kijani chenu, na mashuka yenu mjitahidi yawe ya kijani Kama ya theatre.
Tuwache tupumuwe
mambo.ni taiti hadi.kupumua ni shida, ,,tajapumuliwa sasa, hakuna kurogwa kiboyaboya
 
So what?
Mmetaka bunge la kijani mmelipata.
Mmentaka Maalim Seif wa kijani mmempata.
Mmemtaka Zitto wa kijani, mmempata.
Mmemtaka Halima Mdee na wenzanke wa kijani mmewapata.
Mmetaka nchi ya kijani mmeipata.
Tafadhali sana, acha kuisakama CHADEMA yetu.
Wenye mapenzi mema tumekapenda kakibanda hakohako.
Unaongelea eti miradi ya kihujumu UCHUMI, Bwawa la Rufiji, tumepoteza trillion ngapi kwenye miradi ya gesi, kuanzia utafiti, upatikanaji, kujenga pipeline, Hadi kiwanda Kinyerezi.
Hivi nyie masisiyemu hamuoni mnapoteza rasilimali fedha za taifa hili kwa unfinished business zenu?
Mabilioni yamepotea kwenye gesi, kwenye bunge la katiba, kwenye mandege yasiyo na tija nk.
Ndugu yangu johnthebaptist, badala ya kuisakama CHADEMA msakame MAGUFULI na mapepo yake, katuletea limeli, toka Dar mpaka Bagamoyo limetumia siku nzima.
Na Ni yeye aliyekwenda kuliangalia, kulikagua na kulisimamia tangu linajengwa.
Tunaomba utuache sisi na CHADEMA yetu, nyie endeleeni na kijani chenu, na mashuka yenu mjitahidi yawe ya kijani Kama ya theatre.
Tuwache tupumuwe
Bujibuji,
CCm ilirithi majengo na mali ambazo zilitafutwa na wananchi wote kwa ujumla lakini hii haisababishi CHADEMA walemae kama ilivyo sasa.
Nimekulia Ufipa na zile nyumba ni za zamani mno na la kusikitisha ni kuwa "nasikia" wamepangisha na si mali yao.
John John Mnyika ni wakati wa kuibadili Chadema,jengo dogo nzuri la lenye vitega uchumi viwili au vitatu.
Makao makuu mnazidiwa na majimbo yanajenga ofisi (Serengeti )
Come on guys!!
 
Back
Top Bottom